Biashara ya foreign exchange faida inapatikanaje?

Biashara ya foreign exchange faida inapatikanaje?

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,910
Reaction score
7,562
Naomba kuuliza hatua za kufuata kufungua bureau de change na je kama investor kwenye hio biashara napataje faida au wenye bureau de change wanapataje faida.

Natanguliza shukrani.
 
Wanacheza na rates, yaani kupanda na kushuka kwa bei za currencies.

Kuhusu mtaji sijui ni kiasi gani utapewa muongoza na wajuvi. Ukihitaji location nzuri ya kufungua hiyo biashara nicheki mkuu.
 
Sio ngumu tuu pia ni biashara za vijana wale wavivu kufanya kazi za kuvuja jasho..

Wakuu tufanye kazi za kuvuja jasho aisee
Wewe ukifanya inatosha. Sio kila mtu anapenda kuvuja jasho ovyo randomly with no reasonable price kama wewe. Au kamshauri Lugumi, akikubali NAMI nitamfata.
 
Wewe ukifanya inatosha. Sio kila mtu anapenda kuvuja jasho ovyo randomly with no reasonable price kama wewe. Au kamshauri Lugumi, akikubali NAMI nitamfata.
Kaka kwahyo wewe upendi kufanya kazi za kuvuja jasho unapenda kazi laini pesa nyingi sio..?
 
Naomba kuuliza hatua za kufuata kufungua bureau de change na je kama investor kwenye hio biashara napataje faida au wenye bureau de change wanapataje faida.

Natanguliza shukrani.
Hakuna mtu anayetaka afungue hio biashara hajui faida inapatikanaje?
Uliza swlai lako vizuri
 
Back
Top Bottom