ENOCK SEMAKO
Member
- Apr 4, 2013
- 46
- 2
Mkinga anaweza
Usifanye na mashule wagumu kulipa kwa ufupi malipo yanachelewa sana so inaitaji uvumilivu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Tuwasiliane 0763370175Asante sana kwa ushauri,mimi mchele nalima mwenyewe mpunga nalimia mbeya,hivo nakuwa nauza mchele kutoka mbeya.
Pia sijakuelewa kuhusu wenyeviti wa masoko..kwamba wao watanisaidia kujua bei za mchele kwa soko husika,hao wenye viti wanakuwa na uzoefu wa kiasi hicho, of course its true unavoniambia nisifungue kwanza duka nifanye survey ya bei kwani nnaweza nikauza kwa jumla moja kwa moja sokoni kuliko kutafuta frame.
Pia nilikuwa naomba kama kuna mtu yyte ana connection na watu wa mashule ya boarding niweze kusupply mchele.
Rafiki kuna siku utajua kuandika vyema tu. Maana na mimi nilianza hivi hivi kuboronga hadi sasa sijajiamini lakini naelekeza kidogo.Natamani sana kuanzisha biashara ya duka la jumla lakini sijajua kwamba ni mtaji kiasi gani natakiwa niwe nao ili niweze kuanzisha biashara hyo
2.changamoto za biashara hyo