Ni biashara ya kununua bidhaa online kwa supplier wakubwa kama alibaba, Amazon na zingine alafu una panga bei yako mfano umenunua $2 we una weka $8 unauza mteja akininua kupitia kwako supplier anampelekea mpaka alipo kwahiy wewe unakuwa katikati ya mteja na supplierNdio ipoje hiyo
Dah una muda gani kwenye hii biasharaBiashara nzuri..naifanya pia.
Kumbe ndio hiyoNi biashara ya kununua bidhaa online kwa supplier wakubwa kama alibaba, Amazon na zingine alafu una panga bei yako mfano umenunua $2 we una weka $8 unauza mteja akininua kupitia kwako supplier anampelekea mpaka alipo kwahiy wewe unakuwa katikati ya mteja na supplier
5 yearsDah una muda gani kwenye hii biashara
Nije Pm unielekeze mkuu 🤝Biashara nzuri..naifanya pia.
Unafanyaje na mtaji inakuwaje5 years
Karibu...Nije Pm unielekeze mkuu 🤝
Nije Pm unielekeze mkuu 🤝
Nikipata wasaa ntaandikaUnafanyaje na mtaji inakuwaje
Karibu...