Ephraim Musola
Member
- Jan 8, 2018
- 16
- 18
Guys kwa yoyote aliepo Mwanza naomba unipe ramanii ya kupata dagaa wasio na mchanga nataka kilo 100 kila sikuu.
Kwa mawasiliano ni chekii 0744714226
Kwa mawasiliano ni chekii 0744714226
Wewe upo wapi? Na unataka waliokaangwa tayari au waliotoka kuvuliwa tu? Au unataka waliokaushwa na jua? Huku ziwani wanauzwa kwa sado au ndoo. Masokoni wanauzwa waliokaangwa piaGuys kwa yoyote aliepo Mwanza naomba unipe ramanii ya kupta dagaa wasio na mchanga nataka kilo 100 kila sikuu.
Kwa mawasiliano ni chekii 0744714226
Pesa kidogo usha anza kuita wenzako wabongoHv wabongo tunafeli wapi weka bei kwa kg au gunia watu wanyooke agggh ntajuaje unauza kg laki



