changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,587
- 9,179
Habari ndugu wana JF
Nataka nianze biashara ya uuzaji wa dagaa lakini kwa kuwasafirisha nje ya nchi nikilenga Congo na Comoro.
Hivyo kama kuna watu humu wazoefu wa biashara hizi naomba msaada wa kujua utaratibu ulivyo juu ya biashara hii. Ikiwa pamoja na usafirishaji, ushuru na mengineyo.
Nataka nianze biashara ya uuzaji wa dagaa lakini kwa kuwasafirisha nje ya nchi nikilenga Congo na Comoro.
Hivyo kama kuna watu humu wazoefu wa biashara hizi naomba msaada wa kujua utaratibu ulivyo juu ya biashara hii. Ikiwa pamoja na usafirishaji, ushuru na mengineyo.