Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,056
- 10,341
Dah...utaumia tu...wengi hawavaiUkiwa mwanaume ukauza vifuniko vya asali vya kike, utatoka fasta...
Sent using Beretta ARX 160
Dah...utaumia tu...wengi hawavaiUkiwa mwanaume ukauza vifuniko vya asali vya kike, utatoka fasta...
Hahaaaaa haaaa aiseee umeona mbaliSasa hivi joto wana vaa madila tu
Chunguza
Nimetoka Kwenye darasa la ujasiriamali. Mwalimu kasema ili ufanikiwe you have to think out of the box.
Wana JF nimenthink out of the box nakuja na idea munisaidie kupata fursa ya kutoka kimaisha. Hivi jumla ya uzito wote wa chupi zinazovaliwa hapa Dar mchana ni kiasi gani? Na usiku je? Hamna fursa hapo ya ku-make money? Nimedata mwenzenu...