Biashara ya chupi hapa Dar itanitoa?

Tupe mrejesho mkuu unaendeleaje na biashara hii?
Nimetoka Kwenye darasa la ujasiriamali. Mwalimu kasema ili ufanikiwe you have to think out of the box.

Wana JF nimenthink out of the box nakuja na idea munisaidie kupata fursa ya kutoka kimaisha. Hivi jumla ya uzito wote wa chupi zinazovaliwa hapa Dar mchana ni kiasi gani? Na usiku je? Hamna fursa hapo ya ku-make money? Nimedata mwenzenu...
 
Back
Top Bottom