maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,144
Wakuu napenda wenye kuijua hii biashara ya branding na marketing agency/promotions.
Tupeane ujuzi maana ni biashara ninayotaka kuifanya maana makampuni mengi yana outsource marketing/ promotion ya bidhaa zao au uzinduzi wa chupa mpya na ukipata makampuni makubwa unavuta pesa ndefu.
Tupeane ma-idea ya namna ya kufanya hasa kwa tunaotamani kufanya hii biashara.
Tupeane ujuzi maana ni biashara ninayotaka kuifanya maana makampuni mengi yana outsource marketing/ promotion ya bidhaa zao au uzinduzi wa chupa mpya na ukipata makampuni makubwa unavuta pesa ndefu.
Tupeane ma-idea ya namna ya kufanya hasa kwa tunaotamani kufanya hii biashara.