Alex Protase
Member
- May 27, 2016
- 38
- 10
Biashara hii iko Mbezi mwisho, Kibanda cha Mkaa, iko sehemu iliyotulia na mzunguko wa watu ni mkubwa, ina kila kitu ni kuingiza vinywaji tu unaanza kazi. Bei yake ni pamoja na kodi ya miezi 5 kuanzia March, ni shs 300,000 kwa mwezi.
Kwa mawasiliano 0713895049/ 0753543236/0688186936.
Kwa mawasiliano 0713895049/ 0753543236/0688186936.