Biashara matangazo wengine mjifunze

Biashara matangazo wengine mjifunze

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2007
Posts
19,020
Reaction score
9,177
Wa kuu Biashara ni matangazo.

attachment.php

act5.jpg
 
siasa ni manufacturing na sio trading

kuwa na bidhaa iliyobora NI LAZIMA UWE NA INPUTS BORA (kuwa na chama kitakachokuja kuwa bora ni lazma uwe na wato bora na sio bora watu i.e mtu kama KITILIA, MWIGAMBA, ZZK are not high quality inputs to be transformed kuwa BIDHAA BORA)

SIASA ni manufacturing kwa maana una wahitaji LISSU, MNYIKA kama best quality INPUTS ili zije kuwa transformed kuwa bidhaa bora of all times.

BAADA YA WIKI TATU HAMNA KITU kama A.C.T kwenye media
 
Wa kuu Biashara ni matangazo.

attachment.php

View attachment 236942

Kumbe Alikuwa Anasubiriwa Tu Ahamie Huko Rasmi Kisha Ndiyo Wafanye Uzinduzi Wao Rasmi? Sasa Nimeamini Kwanini Chadema Waliondoa Takataka Mezani Ili Chakula Kisiharibike. Ushauri Wangu Tu Ktk Hiyo Picha Naona Ni Mdada Yupo Pande Zote Mbili Akiwa Amenyoosha Mikono Akipunga Mithili Ya Mstaafu Mwezi October 2015. Je Hiki Chama Ni Women Oriented Tu? Sisi Madume Ya Mbegu Hapo Tumewakilishwa Wapi? Ni Vitu Vidogo Sana Ambavyo Unaweza Ukavipuuzia Lakini Kwa Corporate And Strategic Communication Expert Kama GENTAMYCINE Hilo Tangazo Lao Lina Mapungufu Mengi Sana ILA Nawapa Tu Pongezi Zangu Za Dhati Kwa ACT Kuweza Kutuongezea Watanzania UTITIRI Wa Hopeless Political Parties Isipokuwa Kwa UKAWA Peke Yake Ndiyo Move Yao Nimeiona Ina TIJA Na Wamecheza Karata Yao Vizuri Lakini Siyo Kwa Vyama Kama TLP, Sijui UDP Na Leo ACT Kwani Ni Usanii Mtupu Na Kupotezeana Tu Muda. UKAWA Nawapenda Na Nawatakieni Kila La Kheri Ktk Kutukomboa Sisi Watanzania. GENTAMYCINE Nipo Nyuma Yenu 100% Na Aluta Continua Na Kamwe Msichoke.
 
Bora mimi nisiye mwanachama wa chama chochote kileeee.... Nawaoma wapiga dili, wasaliti, na wazandiki woooooote wanaoingia ACT ili kupiga vita CHADEMA. Wamekodiwa na chama cha kijani, hatima yao inaweza kuwa duni kuliko TLP
 
siasa ni manufacturing na sio trading

kuwa na bidhaa iliyobora NI LAZIMA UWE NA INPUTS BORA (kuwa na chama kitakachokuja kuwa bora ni lazma uwe na wato bora na sio bora watu i.e mtu kama KITILIA, MWIGAMBA, ZZK are not high quality inputs to be transformed kuwa BIDHAA BORA)

SIASA ni manufacturing kwa maana una wahitaji LISSU, MNYIKA kama best quality INPUTS ili zije kuwa transformed kuwa bidhaa bora of all times.

BAADA YA WIKI TATU HAMNA KITU kama A.C.T kwenye media

Naona unajipigia chapuo kwa mabwana zako ili uchaguzi ujao wa BAWACHA wasikutose. Yaani unachukua takataka akina Lisu,Sugu,Lema na Mnyika ndo unataka kuwalinganisha na Kitila na Zitto? Mlete Prof.Baregu umpambanishe na Hao nitakuelewa wala sintobishana na wewe lakini sio huu uchafu ulioandika hapo.
 
Hivi hiki chama kila siku huwa KINAZUNDULIWA RASMI??!!
Haya mauzinduzi rasmi yakiisha mseme nije nisikilize sera zenyu.
 
Back
Top Bottom