Biashara imenishinda, nimerudisha fremu ya watu

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,746
Hizi biashara bana, zinahitaji commitment ya hali ya juu sana, nawapongeza sana watu wote mliofanikiwa katika biashara.

Mimi sijui nilikosea wapi aisee, maana duka lilikuwa na mtaji wa around 10m, sasa hivi limebaki na 3.2m nimeamua kuuza bidhaa kwa bei ya jumla na kulifunga tu hilo duka, sitaki pressure tena.
 
Pole sana mdau, biashara inataka sana utulivu na uvumilivu.

Inawezekana kuna mistake uliifanya bila kujua, biashara ya mtaji wa 10mill kama ulikuwa unaitegemea hiyo hiyo kuendeshea maisha ni uongo isinge-survive maana ilibidi faida inayopatikana humo ndani ya hiyo miaka mitatu izidi kuiimarisha ndo uanze kula faida.

So ni kusema faida yake ungeanza kuitegemea baada ya miaka mitano mtaji ukiwa umeshakuwa, ni changamoto sana mtaji wa biashara ukiwa mdogo.
 
Pole sana mdau, biashara inataka utulivu na uvumilivu.

Inawezekana kuna mistake uliifanya bila kujua,biashara ya mtaji wa 10mill kama ulikuwa unaitegemea hiyo hiyo kuendeshea maisha ni uongo isinge-survive maana ilibidi faida inayopatikana humo ndani ya hiyo miaka mitatu izidi kuiimarisha ndo uanze kula faida.

So nikusema faida yake ungeanza kuitegemea baada ya miaka mitano mtaji ukiwa umeshakua,ni changamoto sana mtaji wa biashara ukiwa mdogo.
Kwa hiyo milion 10 ni mtaji mdogo? Kwa hiyo mtaji sahihi wa kuanzisha biashara ni shi ngapi?
 
Mkuu, bado una nafasi jitafakari ni nini sababu ya kupoteza mtaji then kaa chini ipangilie hela iliobakia Anza Tena biashara, m 3 ukiilenga biashara nzuri inao uwezo waa kukupa return nzuri tu per month.

Cha msingi Sana tafuta masoko,wateja wa bidhaa zako
Then tafuta connection nzur ya Ni wapi unachkulia bidhaa (hapa uweze kwenda kuchkua muda wowote ukiishiwa bidhaa).

Usiogope na ukakata tamaa kufanya biashara,Kuna wakati watu tmefulia mtaji ukashuka kabisa adi chini ya lak 5 lakini skuacha nkafosi hadi mtaji umerudi seemu yake,

Usiogope kufanya biashara,jifunze kupitia makosa yako ,endelea mbele
 
Hizi biashara bana, zinahitaji commitment ya hali ya juu sana, nawapongeza sana watu wote mliofanikiwa katika biashara.

Mimi sijui nilikosea wapi aisee, maana duka lilikua na mtaji wa around 10m, sasa hivi limebaki na 3.2m nimeamua kuuza bidhaa kwa bei ya jumla na kulifunga tu hilo duka sitaki pressure tena.
Pole sana mkuu. Ni duka la nini na liko wapi?
 
Hizi biashara bana, zinahitaji commitment ya hali ya juu sana, nawapongeza sana watu wote mliofanikiwa katika biashara.

Mimi sijui nilikosea wapi aisee, maana duka lilikua na mtaji wa around 10m, sasa hivi limebaki na 3.2m nimeamua kuuza bidhaa kwa bei ya jumla na kulifunga tu hilo duka sitaki pressure tena.

Ni biashara gani?

#YNWA
 
Pole sana mdau, biashara inataka utulivu na uvumilivu.

Inawezekana kuna mistake uliifanya bila kujua,biashara ya mtaji wa 10mill kama ulikuwa unaitegemea hiyo hiyo kuendeshea maisha ni uongo isinge-survive maana ilibidi faida inayopatikana humo ndani ya hiyo miaka mitatu izidi kuiimarisha ndo uanze kula faida.

So nikusema faida yake ungeanza kuitegemea baada ya miaka mitano mtaji ukiwa umeshakua,ni changamoto sana mtaji wa biashara ukiwa mdogo.
Biashara unaendesha maisha vizuri tu labda kama utachanganya na anasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi biashara bana, zinahitaji commitment ya hali ya juu sana, nawapongeza sana watu wote mliofanikiwa katika biashara.

Mimi sijui nilikosea wapi aisee, maana duka lilikua na mtaji wa around 10m, sasa hivi limebaki na 3.2m nimeamua kuuza bidhaa kwa bei ya jumla na kulifunga tu hilo duka sitaki pressure tena.
Unapatikana mkoa gani mkuu?
 
Pole sana mdau, biashara inataka utulivu na uvumilivu.

Inawezekana kuna mistake uliifanya bila kujua,biashara ya mtaji wa 10mill kama ulikuwa unaitegemea hiyo hiyo kuendeshea maisha ni uongo isinge-survive maana ilibidi faida inayopatikana humo ndani ya hiyo miaka mitatu izidi kuiimarisha ndo uanze kula faida.

So nikusema faida yake ungeanza kuitegemea baada ya miaka mitano mtaji ukiwa umeshakua,ni changamoto sana mtaji wa biashara ukiwa mdogo.
10m mtaji mdogo hebu kuwa serious jamaa
 
Hizi biashara bana, zinahitaji commitment ya hali ya juu sana, nawapongeza sana watu wote mliofanikiwa katika biashara.

Mimi sijui nilikosea wapi aisee, maana duka lilikua na mtaji wa around 10m, sasa hivi limebaki na 3.2m nimeamua kuuza bidhaa kwa bei ya jumla na kulifunga tu hilo duka sitaki pressure tena.
Pole mkuu ila ungesema location uliyopo bado hiyo pesa ulionayo unaweza pata faida kwa biashara zingine.
 
Mkuu ,Bado una nafasi jitafakari Ni Nini sababu ya kupoteza mtaji then kaa chini ipangilie hella iliobakia Anza Tena biashara ,m 3 ukiilenga biashara nzuri inao uwezo was kukupa return nzuri tu per month,
Cha msingi Sana tafuta masoko,wateja wa bidhaa zako
Then tafuta connection nzur ya Ni wapi unachkulia bidhaa (hapa uweze kwenda kuchkua muda wowote ukiishiwa bidhaa)
Usiogope na ukakata tamaa kufanya biashara,Kuna wakati watu tmefulia mtaji ukashuka kabisa adi chini ya lak 5 lakini skuacha nkafosi hadi mtaji umerudi seemu yake,

Usiogope kufanya biashara,jifunze kupitia makosa yako ,endelea mbele
Huu ndio uanaume.. Mimi nilimuweka kijana akawa Kama anaifix pesa nimemtoa..
 
Pole sana mdau, biashara inataka utulivu na uvumilivu.

Inawezekana kuna mistake uliifanya bila kujua,biashara ya mtaji wa 10mill kama ulikuwa unaitegemea hiyo hiyo kuendeshea maisha ni uongo isinge-survive maana ilibidi faida inayopatikana humo ndani ya hiyo miaka mitatu izidi kuiimarisha ndo uanze kula faida.

So nikusema faida yake ungeanza kuitegemea baada ya miaka mitano mtaji ukiwa umeshakua,ni changamoto sana mtaji wa biashara ukiwa mdogo.
10 ml ni mtaji mdogo mkuu????

Aiseee kweli dunia is not fair
 
Kama unaitegemea hiyo biashara ya milioni 10 ujue utaifilisi tu.

Milioni 10 sio nyingi kwa biashara za uchuuzi
Mimi nilianza na laki 7 bidhaa za nyumbn na miamala 2.5...jamaa mmoja swahiba wangu akaniambia nijiunge na biashara ya forever..nikatoa laki 7...hela angu ikazama....

Mtaji wa miamala nilionao Sasa Ni m1 na kamisheni huwa napata above laki2 per month...

10m ni mtaji mkubwa Sana ...inategemea unafanyia wap na biashara gani..
 
Kwa hyo milion 10 ni mtaji mdogo?,,,,,kwa hyo mtaji sahihi wa kuanzisha biashara ni shi ngapi?
Hujamuelewa point yake.
Milioni 10 ni mtaji kidogo kama ndio unaitegemea hiyo hiyo biashara ya milioni 10 ikupe hela ya kula,hiyo hiyo upate ada za shule za watoto,hiyo hiyo uchukue hela ya matibabu ukiumwa, hiyo hiyo ulipie kodi ya nyumba haiwezi kuchukua mwaka itapukutika tu.
 
Kwa hyo milion 10 ni mtaji mdogo?,,,,,kwa hyo mtaji sahihi wa kuanzisha biashara ni shi ngapi?
Boss umeona kuna nilipoandika mill 10 ni ndogo au kubwa?

Well, milion 10 ukifungua biashara ya genge ni kubwa sana na faida yake utaanza kuvuna baada ya miezi mitatu ila milion kumi hiyo hiyo kuna biashara ukianza nayo inakuwa ndogo kiasi inabidi yenyewe ijizalishe kujikuza ili mwenye nayo aanze kuvuna faida though mdau hakuandika ni biashara gani ila kwa 10mill lazima ilikuwa biashara kubwa kiasi.
 
Back
Top Bottom