Biashara gani zinahitaji leseni ya kundi A?

Biashara gani zinahitaji leseni ya kundi A?

youngkato

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,638
Reaction score
3,641
Biashara zenye mtaji mkubwa kama vile benki, bima, huduma za mawasiliano, bandari, utalii, na maduka ya kubadilisha fedha.
 
Back
Top Bottom