lucley
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 724
- 1,971
Ungekuwa upo mbeya au s'wanga ingekua rahisi. 'Coz' stock ya mpunga ipo Godown, tukipata order tunakoboa then tunafanya biashara.Nataka niuone kwanza nijiridhishe,
Then nitakuwa nanunua kwa interval fulani kuna mahali napeleka ila uwe wenyewe