jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,003
Habari wadau,
Kama kuna yoyote anayefanya au anayemfahamu mtu anayefanya biashara kati ya Tanzania na visiwa vya Comoros tafadhali tuwasiliane hapa au PM, kuna jambo tunaweza kushare.
Ahsante.
Kama kuna yoyote anayefanya au anayemfahamu mtu anayefanya biashara kati ya Tanzania na visiwa vya Comoros tafadhali tuwasiliane hapa au PM, kuna jambo tunaweza kushare.
Ahsante.