Biashara Comoros

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,016
Habari wadau,

Kama kuna yoyote anayefanya au anayemfahamu mtu anayefanya biashara kati ya Tanzania na visiwa vya Comoros tafadhali tuwasiliane hapa au PM, kuna jambo tunaweza kushare.

Ahsante.
 
Niko Comoros kwa zaidi ya mwezi sasa. Karibu.
 
Mkuu kama hutajali weka namba yako ya whatsapp
Kwa hili utanisamehe, siwezi kuweka na, namba yangu ya simu hapa.

Kama una jambo unahitaji kujua uliza hapa, kama unaona si jambo la kuweka hadharani njoo PM jieleze; baada ya hapo nitakupa namba kama nitaona kuna umuhimu wa kufanya hivyo.

Nikipata mda nitaweka uzi kuhusu Fursa na Changamoto zilizoko huku kwa manufaa ya wengi.
 
Habari wadau,

Kama kuna yoyote anayefanya au anayemfahamu mtu anayefanya biashara kati ya Tanzania na visiwa vya Comoros tafadhali tuwasiliane hapa au PM, kuna jambo tunaweza kushare.

Ahsante.

Nilikaa huko muda mrefu kiasi almost 25 months
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…