jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,003
Hawana shida ukiweza lugha yao unavuta tu
Hawana shida ukiweza lugha yao unavuta tu
Mkuu kama hutajali weka namba yako ya whatsappNiko Comoros kwa zaidi ya mwezi sasa. Karibu.
Kwa hili utanisamehe, siwezi kuweka na, namba yangu ya simu hapa.Mkuu kama hutajali weka namba yako ya whatsapp
Google tafadhaliJinsi gani/ kwa njia gani unaweza kufika uko
Niko Comoros kwa zaidi ya mwezi sasa. Karibu.
Wanaongea lugha gani
Habari wadau,
Kama kuna yoyote anayefanya au anayemfahamu mtu anayefanya biashara kati ya Tanzania na visiwa vya Comoros tafadhali tuwasiliane hapa au PM, kuna jambo tunaweza kushare.
Ahsante.
MoroniUko maeneo gani mkuu? Gobadjouu, Badjanani? EGT? itsandra, Salmamoudou au?
Ulikaa mda mrefu Sana vipi, ilikuwa kikazi ama biashara.Nilikaa huko muda mrefu kiasi almost 25 months
Moroni
Nauli Bei gani mpaka comoro? Kuna boti za abiria au ndege tuHawana shida ukiweza lugha yao unavuta tu
Kama unajibu jibu. Google maana yake nini?Google tafadhali
Fresh kabisaHawana shida ukiweza lugha yao unavuta tu
Ulikaa mda mrefu Sana vipi, ilikuwa kikazi ama biashara.