Big Phil
Member
- Nov 20, 2019
- 50
- 338
Biashara 15 ambazo zinalipa kwa sasa.
1. Kupika kwa oda
2. Urembo(kusuka,makeup,kucha)
3. Kilimo cha mbogamboga
4. Kupiga picha (wazee wa Location)
5. Kupanga sherehe/Matukio(Event planning)
6. Kutembeza watalii
7. Ushonaji nguo
8. Kufundisha (Tuition)
9. Biashara ya saluni ya kiume
10. Kuuza miti ya maua
11. Kufulia watu nguo majumbani.(watu wako busy mno)
12. Famasia na madawa
13. Vifaa vya ujenzi
14. Vifaa ya Uani(toilet paper, diaper za watoto,dawa za chooni)
15.vifaa vya Elektroniki.
1. Kupika kwa oda
2. Urembo(kusuka,makeup,kucha)
3. Kilimo cha mbogamboga
4. Kupiga picha (wazee wa Location)
5. Kupanga sherehe/Matukio(Event planning)
6. Kutembeza watalii
7. Ushonaji nguo
8. Kufundisha (Tuition)
9. Biashara ya saluni ya kiume
10. Kuuza miti ya maua
11. Kufulia watu nguo majumbani.(watu wako busy mno)
12. Famasia na madawa
13. Vifaa vya ujenzi
14. Vifaa ya Uani(toilet paper, diaper za watoto,dawa za chooni)
15.vifaa vya Elektroniki.