Kwa wale wanywaji wa pombe,pale unapofungua bia halafu inafuka povu jingi hadi kumwagika,inamaanisha ni mbovu au...Msaada tafadhali!.
Inategemea. Inawezekana ilifunguliwa vibaya(nzima)au mbovu.
Kuhakikisha ipige pige kidogo kwenye kitako cha chupa kama itaendelea kufoka na kumwagika basi ni mbovu. Kama haitafoka basi nzima.
Au mwaga kidogo chini kwenye sakafu endapo itatoa povu basi nzima isipotoa povu mbovu. Isinywe utaharisha mpaka ukome
Acha Ubahili wewe, agiza nyingine!!
Hiyo bia ni ya motoKwa wale wanywaji wa pombe,pale unapofungua bia halafu inafuka povu jingi hadi kumwagika,inamaanisha ni mbovu au...Msaada tafadhali!.
Hakuna bia nzima, zote zimeoza na zinaendelea kuoza ( ferment)