Beyond Incompetence: Reform the AG Office

Kwanini hutaki kuamini kuwa Magu ndio anatakiwa kutoka ofisini
 
The AG, unfortunately he is too pre occupied in concoting cases for anbody opposing the highly glorified march of the BLESSED ONE FROM CHATO. Long Live Chairman Magufuli
 

Ofisi ya AG inafanya kazi kumfurahisha rais na sio mambo hayo. Ufanisi wa hiyo ofisi unapimwa kwa kudhibiti wapinzani. Iwapo hiyo ofisi ya AG itafanya kazi kwa weledi itawaumiza zaidi hao wanaojiona wazalendo.
 
Ni wewe kweli Mkuu johnthebatist uliye-comment kwenye hii post??

Pengine account yako imekuwa hacked.........

Kama haijawa hacked, kwa namna ulivyokuwa kwenye "praise and worship team for Magufuli" naamini kutokana na madudu mengi yaayofanywa na seikali hii ya awamu ya tano, imekaribia ile siku Taifa zima, tutaungana na tutaongea lugha moja!
 
Kama AG office ingekuwa imekosea by now angekuwa hana chake. Tujifunze tu kwa hili lilotokea.
 
The planes belong to the government so the AG should have known all the legal implications of flying our planes beyond our air space knowing very well that our ATCL owes the likes of SAA. Soon we'll be flying to Gatwick so more care is needed!
Indeed, this to me is the crux of the matter. The question that need clear and rational answers is "how did this happen"? When anyone tries to answer this question the level of incompetence that has permeated the AG's office will be as clear as a blue sky!
 
Hili ndio tatizo la mawakili wa serikali katika ofisi nyingi, kushindwa kushauri inavyofaa kisheria badala yake wanafuata kile anachotaka mkuu wa taasisi hata kama kina madhara makubwa kisheria na kifedha, matokeo ndio aibu tunazopata, kila kesi tunashindwa.
 
Yaan umemaliza mkuu, ndio maan mzee Mkapa aliwaonya viongoz wa sasa jinsi wanatamka 'Serikali ya Magufuri' au 'Serikal yangu' badala 'Serikal ya ccm'
 
Tunatakiwa kuhoji kuhusu matumizi mabovu ya kodi zetu (rasilimali fedha) iliyotumika kwa kufikisha mawakili 16 mahakamani (wengine hapo utakuta wametoka nje ya Dar), magari ya serikali na mafuta, posho za madereva nk kwa kesi ambayo wakili mmoja tu angetosha. Huku mawakili hao 16 wakishindwa kushauri settlement ya deni au kushauri ndege isiende tunakodaiwa kwa kuwa itakamatwa...

Bado pamoja na wingi wao, mahakamani wameibua hoja nyepesi..

I second the motion; the competence of state attorneys in AG office and of the AG himself too should be questioned and checked. It is like for now, we don't need that office at all...
 

Ministry of justice knew and they have a team responsible for this type of cases is not CAG responsibility
 
Ministry of justice knew and they have a team responsible for this type of cases is not CAG responsibility

The sectoral Ministry is the one responsible to notify the Ministry of Justice and the office of AG concerning legal matters facing the ministry;

Being the fact that, the matter was already discussed and settled out of court but payment was not effected by Our government, it is obviuos that the AG's office was aware with the matter (he involved on settlement) which makes his office be the one with responsibility and duty to advice the Government on execution of the same (payment)..

Alternatively, I believe the decision to fly to SA was tabled and discussed on the Cabinet where AG and all ministers are members..they should have also discuss the debt and the ways to clear it. All of them were aware with it, formal and informal.
 
Wewe

Kazi ya AG siyo kulipa madeni. Kumbuka hilo.

Zisome hapa duties and powers za AG halafu uoneshe ni wapi

Kazi yake kubwa ni kutazama kuwa sheria zilizotungwa zinatekelezeka na ziiliyopitishwa zinatumika vyema na kama kuna marekebisho ayapendekeze bungeni.


Halafu kujidai kuandika Kiingereza umemlenga nani huu uzi wako?

Upunguani mwengine ni mzigo kweli kweli.
 
Yaani unamuona mwanasheria mkuu ni mkosaji wakati aliyemteua anafanya hayohayo unayomlaumu mwanasheria mkuu. Makonda was caught red-handed invading Clouds FM with armed thugs, but he has continued to stay on power. He was caught illegally smuggling furniture in the country, but the president merely acknowledged knowing his appointee's moral and legal mistakes but kept him in power. And today you are suggesting it's not the president's blunder, but his appointees' blunders that we should focus on.
 
Wewe bibi hebu soma vizuri tena na tena. Huyo CAG ametajwa wapi na mleta mada? Nawa kwanza uso ndio usome uzi
 
Wewe bibi hebu soma vizuri tena na tena. Huyo CAG ametajwa wapi na mleta mada? Nawa kwanza uso ndio usome uzi

Kanisome upya post yangu inabaki kama ilivyo na marekebisho yake.
 
Foolishly they'll start looking for another Lissu to shoot him down
 
Rais anawaita maprofesa na madokta wapumbavu kwakuwa na wao ni miongoni mwa wapumbavu waliokubali kununuliwa ili kuunga mkono na kuitia hasara ya mabilioni nchi hii kwa kurudia chaguzi za kuwachagua tena kupitia chama chake. Ukweli ni wapumbavu. Sasa ukisha wajaza wapumbavu katika uongozi wa nchi unategemea nini? Wengine wana kiri wenyewe kuwa wameokotwa majalalani. Wale ambao wanakosoa ili mambo haya yasijirudie wanapigwa risasi badala ya kuwatumia kuiokoa nchi. (Mithali 26: 4) Mwisho wa siku wanaamua kuwaacha muendelee na upumbavu wenu matokeo yake ndiyo haya nchi ina aibika machoni pa mataifa. Makelele na mikwara ya ya kuchukua uenyekiti wa sadec hayajasaidia kitu. Ndege imekamatwa katika nchi ya SADEC. Je ingekamatwa Ubelgiji au Marekani? Sasa hivi ingekuwa ni makelele kuwa Lissu kasababisha ikamatwe kwakuwa anatumiwa na mabeberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…