Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,882
- 2,813
Chimbuko lake pwani ya Kenya. Lugha ya taifa tangu Kenya ilipopata Uhuru.Labda limama lisilojielewa, ninyi kiswahili kimekuwa official language Kenya 2011, sasa mtawaambia nini Tanzania wenye kiswahili chao since day one?
Kuanzia mjerumani amekuja Tanzania ilibidi ajifunze kwanza kiswahili ndio tuende sambamba. Ninyi muingereza alikuta ni vurugu mechi hamuelewani ikabidi awape msaada kwanza wa lugha ya English ndio mambo mengine yaendelee.
Na kweli hiki kiswahili cha Kenya kabisa, sababu phrase ya "long live the king" au "God save the queen" kwa kiswahili fasaha ni "mfalme uishi milele" au "mfalme adumu milele" na sio huo uchafu wa uishi kwa muda mrefu, yaani nyinyi mnafanya lame and nonsense direct translation.
Hahaha you wish.Chimbuko lake pwani ya Kenya. Lugha ya taifa tangu Kenya ilipopata Uhuru.
Get your facts right
Na ndio maana ni kasema mnafanya direct translation, "uishi milele mfalme" maana yake ni ufalme wake udumu since ufalme ni mfumo wa uongozi wa kurithishana basing on bloodlines na sio vingnevyoTafsiri ya "Long live" sio milele, tafuta mtu akupe darasa la Kiswahili na Kingereza, wacha kujitia aibu.
Nimesema lugha ya taifa wewe unazungumzia lugha rasmiHahaha you wish.
Kumbe mlipata uhuru 2010? I didn't know View attachment 1151827
Acha kutema pumba za kilabuni, lete ushahidi mezani kama nilivyofanya mimi.Nimesema lugha ya taifa wewe unazungumzia lugha rasmi
Tz ilikuwa vivyo hivyo usijidanganye
National -kiswahili
Official- English na sidhani kama mmebadilisha
Wee jamaa ficha upumbavu wako.Acha kutema pumba za kilabuni, lete ushahidi mezani kama nilivyofanya mimi.
Huwezi kusema eti national language is not an official language labda kama unataka nigawe darasa la hizo tofauti, sio unatema shudu hapa.
Hatuendi hivyo wewe mama, kwenye lugha kuna conceptual semantic phrases which you can't define by picking single words.Wee jamaa ficha upumbavu wako.
Unajiaibisha kwa ubishi wa kipumbavu
Forever =milele
Long time = muda mrefu.
Tatizo lako kiingereza kimekupiga chenga.
Kelb wahed.
Wewe unaongea nini? Watu wa dar si ndio hawajui kutofautisha r na l.. Mimi nimeishi Moshi na Arusha sijawai kuona mwenyeji anasema kipolo badala ya kiporoMombasa, tanga znz, dar, pwani. Zaidi ya hapo wote wanaongea kiswahili kibovu. Tz wale wanotoka bara wote hawawezi tofautisha r and l, dha na za, tha na sa.
Jamaa we' ni juha kweli.unaleta biblia kama source ya evidence yako?Na ndio maana ni kasema mnafanya direct translation, "uishi milele mfalme" maana yake ni ufalme wake udumu since ufalme ni mfumo wa uongozi wa kurithishana basing on bloodlines na sio vingnevyo
Hivyo "mfalme uishi milele" ina maana ufalme wake usijekupinduliwa na mfalme mwingine kama ilivyokuwa desturi za falme za zamani na sio aishi milele kwa maana ya asife.
View attachment 1151837
Wewe kibiriti ngoma nimeshakuzoea na Hilo boga lako hapo juu ya shingo kwa hiyo haunipi shida.Jamaa we' ni juha kweli.unaleta biblia kama source ya evidence yako?
Acha ubishi mwingi kaka. Nenda kafanye kazi yako ya kuuza vibuni watoto wapate chajio😎Wewe kibiriti ngoma nimeshakuzoea na Hilo boga lako hapo juu ya shingo kwa hiyo haunipi shida.
Si unajua mbwa ukishamjua jina hakusumbui.
Kiswahili ni mali binafsi ya taifa la Tanzania, na itabaki hivyo miaka yote ni kama English kwa Britain hilo lipo hivyo, hii lugha tumeipambania sio kitoto na hatuwezi kuacha ninyi viherehere mdandie utukufu wetuAcha ubishi mwingi kaka. Nenda kafanye kazi yako ya kuuza vibuni watoto wapate chajio😎
Uongo uliotukuka. Kiswahili si cha watanzania. Kujua lugha kwa ufasaha hakumaanishi unaimiliki.Kiswahili ni mali binafsi ya taifa la Tanzania, na itabaki hivyo miaka yote ni kama English kwa Britain hilo lipo hivyo, hii lugha tumeipambania sio kitoto na hatuwezi kuacha ninyi viherehere mdandie utukufu wetu
Kamusi ya kwanza ya kiswahili imetungwa Tanzania 1890s, Kenya imetoa Kamusi ya kiswahili late 2000s ,sasa which is which?
Kaa kimya
Nyinyi wa-Kenya mnaokaa kwenye slums (kibera na kwingineko) huu ujasiri wa kujivuna mnautoa wapi? Eti lugha ya taifa lenu, damn it.
Beyonce features in Lion King
Image: COURTESY
"Uishi kwa mda mrefu mfalme," globally acclaimed pop star Beyonce sings in her latest song to feature in the upcoming film, The Lion King.
The American superstar has released the song which features lyrics in Kiswahili, Kenya's national language.
The song, Beyonce's Spirit, was released on Thursday and will be used as a soundtrack to Disney’s new version of The Lion King.
"Uishi kwa muda mrefu mfalme," a voice chants twice, with a deeper voice responding "uishi kwa".
The phrase means: "Long live the king."
Beyonce, voices the role of lioness Nala, next to lead character Simba, played by Donald Glover.
The song’s intro features words in Kiswahili that are saluting the king.
Beyonce used Facebook to confirm her long-rumoured involvement in the project.
Her other co-stars include Chiwetel Ejiofor as Scar and Seth Rogan as Pumba the warthog. James Earl Jones will play Mufasa, as he did in the 1994 original.
British comedian John Oliver has also been cast as Zazu, the hornbill voiced by Rowan Atkinson in the first film.
The Lion King is due for release on July 19 2019 - 25 years after the cartoon original, which was one of the biggest animated film of all time.
The film will be directed by John Faveau who directed the recent remake of The Jungle Book.
The Lion King isn't the only live-action Disney remake being released in 2019. Other movies include Dumbo and Aladdin.
Beyonce releases new song with Swahili lyrics
The Lion King soundtrack released on Thursday has a Swahili intro saluting the king.www.the-star.co.ke
wewe mwanamke mlevi,unataka kusema kiswahili ni mali ya nani!!!Uongo uliotukuka. Kiswahili si cha watanzania. Kujua lugha kwa ufasaha hakumaanishi unaimiliki.
wa vihere here hawa jamaa dunia nzima inajua.Nyinyi wa-Kenya mnaokaa kwenye slums (kibera na kwingineko) huu ujasiri wa kujivuna mnautoa wapi? Eti lugha ya taifa lenu, damn it.
Ati "rugha yetu" hahaha . Sasa si wewe ndio hypocrite kabisa unaharibu lugha ?Eti Kenya's national language? Mbona mnatuibia rugha yetu nyie wakenya?
Huh?wewe mwanamke mlevi,unataka kusema kiswahili ni mali ya nani!!!
Jambo bwana,,rugha ya kiswahiri ni yetu. Tuliachiwa na mwalimu nyeleleAti "rugha yetu" hahaha . Sasa si wewe ndio hypocrite kabisa unaharibu lugha ?