Beyonce releases song with Swahili lyrics for the upcoming Kenyan themed movie 'Lion King'

Labda limama lisilojielewa, ninyi kiswahili kimekuwa official language Kenya 2011, sasa mtawaambia nini Tanzania wenye kiswahili chao since day one?
Kuanzia mjerumani amekuja Tanzania ilibidi ajifunze kwanza kiswahili ndio tuende sambamba. Ninyi muingereza alikuta ni vurugu mechi hamuelewani ikabidi awape msaada kwanza wa lugha ya English ndio mambo mengine yaendelee.
Chimbuko lake pwani ya Kenya. Lugha ya taifa tangu Kenya ilipopata Uhuru.
Get your facts right
 
Na kweli hiki kiswahili cha Kenya kabisa, sababu phrase ya "long live the king" au "God save the queen" kwa kiswahili fasaha ni "mfalme uishi milele" au "mfalme adumu milele" na sio huo uchafu wa uishi kwa muda mrefu, yaani nyinyi mnafanya lame and nonsense direct translation.

Tafsiri ya "Long live" sio milele, tafuta mtu akupe darasa la Kiswahili na Kingereza, wacha kujitia aibu.
 
Chimbuko lake pwani ya Kenya. Lugha ya taifa tangu Kenya ilipopata Uhuru.
Get your facts right
Hahaha you wish.

Kumbe mlipata uhuru 2010? I didn't know
20190712_123845png.png
 
Tafsiri ya "Long live" sio milele, tafuta mtu akupe darasa la Kiswahili na Kingereza, wacha kujitia aibu.
Na ndio maana ni kasema mnafanya direct translation, "uishi milele mfalme" maana yake ni ufalme wake udumu since ufalme ni mfumo wa uongozi wa kurithishana basing on bloodlines na sio vingnevyo

Hivyo "mfalme uishi milele" ina maana ufalme wake usijekupinduliwa na mfalme mwingine kama ilivyokuwa desturi za falme za zamani na sio aishi milele kwa maana ya asife.
Screenshot_2019-07-12-12-46-49.png
 
Nimesema lugha ya taifa wewe unazungumzia lugha rasmi
Tz ilikuwa vivyo hivyo usijidanganye
National -kiswahili
Official- English na sidhani kama mmebadilisha
Acha kutema pumba za kilabuni, lete ushahidi mezani kama nilivyofanya mimi.

Huwezi kusema eti national language is not an official language labda kama unataka nigawe darasa la hizo tofauti, sio unatema shudu hapa.
 
Acha kutema pumba za kilabuni, lete ushahidi mezani kama nilivyofanya mimi.

Huwezi kusema eti national language is not an official language labda kama unataka nigawe darasa la hizo tofauti, sio unatema shudu hapa.
Wee jamaa ficha upumbavu wako.
Unajiaibisha kwa ubishi wa kipumbavu
Forever =milele
Long time = muda mrefu.
Tatizo lako kiingereza kimekupiga chenga.

Kelb wahed.
 
Wee jamaa ficha upumbavu wako.
Unajiaibisha kwa ubishi wa kipumbavu
Forever =milele
Long time = muda mrefu.
Tatizo lako kiingereza kimekupiga chenga.

Kelb wahed.
Hatuendi hivyo wewe mama, kwenye lugha kuna conceptual semantic phrases which you can't define by picking single words.

Elimu hamna ninyi so siwashangai
 
Lion King wanapromote sana swahili..mm na dogo huwa tunangalia katuni zao disney junior
 
Mombasa, tanga znz, dar, pwani. Zaidi ya hapo wote wanaongea kiswahili kibovu. Tz wale wanotoka bara wote hawawezi tofautisha r and l, dha na za, tha na sa.
Wewe unaongea nini? Watu wa dar si ndio hawajui kutofautisha r na l.. Mimi nimeishi Moshi na Arusha sijawai kuona mwenyeji anasema kipolo badala ya kiporo
 
Na ndio maana ni kasema mnafanya direct translation, "uishi milele mfalme" maana yake ni ufalme wake udumu since ufalme ni mfumo wa uongozi wa kurithishana basing on bloodlines na sio vingnevyo
Hivyo "mfalme uishi milele" ina maana ufalme wake usijekupinduliwa na mfalme mwingine kama ilivyokuwa desturi za falme za zamani na sio aishi milele kwa maana ya asife.
View attachment 1151837
Jamaa we' ni juha kweli.unaleta biblia kama source ya evidence yako?
 
Acha ubishi mwingi kaka. Nenda kafanye kazi yako ya kuuza vibuni watoto wapate chajio😎
Kiswahili ni mali binafsi ya taifa la Tanzania, na itabaki hivyo miaka yote ni kama English kwa Britain hilo lipo hivyo, hii lugha tumeipambania sio kitoto na hatuwezi kuacha ninyi viherehere mdandie utukufu wetu

Kamusi ya kwanza ya kiswahili imetungwa Tanzania 1890s, Kenya imetoa Kamusi ya kiswahili late 2000s ,sasa which is which?

Kaa kimya
 
Kiswahili ni mali binafsi ya taifa la Tanzania, na itabaki hivyo miaka yote ni kama English kwa Britain hilo lipo hivyo, hii lugha tumeipambania sio kitoto na hatuwezi kuacha ninyi viherehere mdandie utukufu wetu
Kamusi ya kwanza ya kiswahili imetungwa Tanzania 1890s, Kenya imetoa Kamusi ya kiswahili late 2000s ,sasa which is which?
Kaa kimya
Uongo uliotukuka. Kiswahili si cha watanzania. Kujua lugha kwa ufasaha hakumaanishi unaimiliki.
 
Beyonce features in Lion King
Beyonce features in Lion King
Image: COURTESY

"Uishi kwa mda mrefu mfalme," globally acclaimed pop star Beyonce sings in her latest song to feature in the upcoming film, The Lion King.

The American superstar has released the song which features lyrics in Kiswahili, Kenya's national language.

The song, Beyonce's Spirit, was released on Thursday and will be used as a soundtrack to Disney’s new version of The Lion King.


"Uishi kwa muda mrefu mfalme," a voice chants twice, with a deeper voice responding "uishi kwa".

The phrase means: "Long live the king."

Beyonce, voices the role of lioness Nala, next to lead character Simba, played by Donald Glover.

The song’s intro features words in Kiswahili that are saluting the king.

Beyonce used Facebook to confirm her long-rumoured involvement in the project.

Her other co-stars include Chiwetel Ejiofor as Scar and Seth Rogan as Pumba the warthog. James Earl Jones will play Mufasa, as he did in the 1994 original.

British comedian John Oliver has also been cast as Zazu, the hornbill voiced by Rowan Atkinson in the first film.


The Lion King is due for release on July 19 2019 - 25 years after the cartoon original, which was one of the biggest animated film of all time.


The film will be directed by John Faveau who directed the recent remake of The Jungle Book.
The Lion King isn't the only live-action Disney remake being released in 2019. Other movies include Dumbo and Aladdin.


Nyinyi wa-Kenya mnaokaa kwenye slums (kibera na kwingineko) huu ujasiri wa kujivuna mnautoa wapi? Eti lugha ya taifa lenu, damn it.
 
Nyinyi wa-Kenya mnaokaa kwenye slums (kibera na kwingineko) huu ujasiri wa kujivuna mnautoa wapi? Eti lugha ya taifa lenu, damn it.
wa vihere here hawa jamaa dunia nzima inajua.

unakumbuka ishu ya kwenda kufundisha kiswahili SA??matokeo yake mtu anakuja Nairobi anakuta watu wanaongea utumbo gani sijui huko.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom