Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,882
- 2,813
Chimbuko lake pwani ya Kenya. Lugha ya taifa tangu Kenya ilipopata Uhuru.Labda limama lisilojielewa, ninyi kiswahili kimekuwa official language Kenya 2011, sasa mtawaambia nini Tanzania wenye kiswahili chao since day one?
Kuanzia mjerumani amekuja Tanzania ilibidi ajifunze kwanza kiswahili ndio tuende sambamba. Ninyi muingereza alikuta ni vurugu mechi hamuelewani ikabidi awape msaada kwanza wa lugha ya English ndio mambo mengine yaendelee.
Get your facts right