Mda mwingi wanalazimisha kujificha. Tokea mwezi wa tano Beyonce kapotea katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kisa tu siku za kujifungua zi karibu. Alipojifungua mtoto wa kwanza alijificha miezi takriban sita bila kuonekana
Tofautisha Bongo na huko kwa watu maan ht wazaz wakiondoka mtoto ana uhakika wa Ku exist lkn kwetu bila mwenywe kuwepo c ajabu familia yako kupotea kwenye uso wa Dunia mfano ulizia mapato wanayopata familia ya Marehemu Michael Jackson