Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Ndio zile dizaini za Dollarjet, utapeli kwa kwenda mbele...
Mtuhabarishe na DECI - Tanzania (ipo hapo Dar es Salaam mabibo mwisho. Sio chama cha ukewenza wa Crisis kweli hichi? Mbona mnazungumzia Dollarjet, Pentagono, au Power-club, za nje, wakati hii DECI ni kikulacho?
Mbona hii DECI mwailetea za "Jirani Jirani Karibu Ingia, Uvungu hauna hata Kunguni. Tahamaki! mwenzio kajia mchuzi wa Ningu......"
Hakuna njia ya mkato kuelekea utajiri, watu wafanye kazi za halali wapate vipato vya halali. Hizo schemes zimewaliza wengi waliopoteza pesa zao kwa kutegemea kupata zaidi.