BETRI YA PIKI PIKI(SANLAG)

BETRI YA PIKI PIKI(SANLAG)

parangu17

Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
31
Reaction score
8
Habari wanaforum nimekwama,naomba kuuliza et naweza kutumia betri ya pikpik kunyolea kwa kufunga direct bila kuleta matatizo?Karibuni
 
haitawezapiga mzigo, betri inatoa umeme DC, mashine ya kunyolea inaitaji umeme AC
 
Tafuta Betri AH 100,na Invetor itakayobadili voltage za betri 12-14V kwenda 220V hapo utatumia mashine na vifaa vingine vya umeme..
 
Back
Top Bottom