seen some issues,paypal express checkout has some issues,wont go through with the transaction, and it fails to redirect back as well.
others aspects are just fine,still testing..,
Wakuu hebu nijuzeni kuhusu kivukoni dot kom, hivi hili ni duka au soko? napenda kufahamu kuhusu huduma zao, je wanaaminika? kuna watu walishawahi kkununua huko? Nimeona kuna mtu wa kivukoni humu ndani, atafanya vizuri zaidi kama akiwafafanulia watu wote humu ndani. Kama ni duka wapi physical adress? Kama ni soko security yake ikoje?