MzungukoMnangani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 303
- 81
Hellw wanajamvi,vijana wa st augustine university(mwanza) wanaanza mitihani yao ya kumaliza 1st semester leo tar 23 jan,ve a best of lucky 2 all SAUT student!
thanx wadau...2po pamoja watoto wa Fr.maziku
halafu wewe unaonekana ni wa EDUCHE
Vp na ww Oldonyo bado upo SAUT au ushamaliza?
Kamati za M13 na uharibifu wa milango vp bado upo?
all the best manyasi,wasalimie dk safari na dk erikioni.mzee manyanda na st clara,usimsahau alex mapenzi
May God bless u ol watoto wa Rev. Kitima ila mc2mie kamati kwenye mitihani yenu
Umenikumbusha,juzi Alex bado kidogo apigwe na LLB3 wakati wa kugawa exam card coz alikuw anazngua
umenikumbusha mbali hadi dada wa watu alikufa kwa sababu ya mbanano wa kuwai pepa.vp post mkuu?
Tutakuwa wote oldonyo.ila mi nimeugua vidonda vya 2mbo baada ya kusoma nimepangiwa shy v.nataman nichakachue nashindwa kuelewa nifanyeje.