Best wishes kwa form 6

Best wishes kwa form 6

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,632
Best wishes kwa form 6 wote. Mungu awatangulie katika mitihani yenu. Hakika haikuwa safari ndogo kumaliza vidato sita ambavyo mlivianza mwaka 2010 ,sisi tupo pamoja nanyi bega bega na tunawaombea kwa mungu mfaulu mitihani yenu..

Natumia nafasi hii pia kuwakumbuka wafuatao ambao ni watahiniwa;

1.lecius sporah(tambaza sec)
2.dee(minaki sec)
3.franco(jitegemee sec)
4.asela(loleza)
5.boaz(ileje sec)
6.getruda na ashura(kazima sec)
7.johnson(azania)
8.benjamin(pugu sec)
9.hamis(kibasila sec)
10.frank (ilboru)
11.godwin (old mosh)
12.michael(tabora boyz sec)
13..juma(iyunga sec)
14.joseph(tosa maganga sec)
15.doreen(feza girls sec)
16.eliza(jangwani sec)
17.patricia(zanaki sec)
18.josephat(mzumbe sec)
19.benjamin(lugoba)
20.lucian(tambaza sec)
21.ester(marians girls )
22.jacob(galanos sec)
23.hassan(milambo sec)
24.sharifa(kilakala sec)
25.dorice(benjamin sec)
26.carlos(mbez high)
27.peter(kibaha)
28.pendo(marian girls)
29.james(kisimiri sec)
30.frederick(rungwe)

Hii ni kwa form 6 wote Tanzania. Mungu awe nanyi
na karibuni sana UDOM college of informatics.
 
That does not make ur life good
 
Dah wakuu nimesahau kutik maswal kwenye answer sheet, hiv kuna madhara yoyote?
 
Back
Top Bottom