Kunaingilika lakini ?Karibu![]()
Umelewa auu!!!!!!!???!!!¡!???eat or "eat"?
Umepotea jukwaaa, ungeenda kwenye jukwaa la elimu basi!Badala ufundishe watu njia za kutafuta hela na kufanya kazi kwa juhudi, unafundisha jinsi ya kufanya mapenzi.
Ni vyema elimu hii ungewafundisha watoto wako kama unao, na kama hauna subiri ukishawapata uwafundishe. Itawasaidia maishani.
Ila kwa alicho maanisha apo uyo mleta uzi ni wachache sana wanaeza fanya ivyoUmelewa auu!!!!!!!???!!!¡!???