Hapo mekupata poa saaana.... so hapo issue ni kudeal na launcher sio....
Nirushieni na mie basi....
0767 969292
Ni nzuri sanaa lakin mbona ni ya kulipia....... au nimekosea.....
Lakin mbona tsf wanauza..? Hiyo z ndo siion play storekama unapenda simu iwe simple and clean vitu vipo organized bila fujo jaribu aviate au launcher mpya ya nokia inaitwa z launcher
aviate ipo hivi
z launcher ipo hivi
uzuri wa hii z launcher unaweza andika kwenye kioo bila kutumia keyboard unaandika na kidole mfano herufi f basi vitakuja vitu vyote vya f
kama wewe unapenda makorokoro mengi kama 3d icon zinazozunguka, icon zenye maumbo ya ajabu na vitu vingi kwa pamoja nothing beat tsf launcher even hio spb ipo humu.
hii tsf ina widget nzuri sana za saa na calender kama unavyoona
Lakin mbona tsf wanauza..? Hiyo z ndo siion play store
kama unapenda simu iwe simple and clean vitu vipo organized bila fujo jaribu aviate au launcher mpya ya nokia inaitwa z launcher
aviate ipo hivi
z launcher ipo hivi
uzuri wa hii z launcher unaweza andika kwenye kioo bila kutumia keyboard unaandika na kidole mfano herufi f basi vitakuja vitu vyote vya f
kama wewe unapenda makorokoro mengi kama 3d icon zinazozunguka, icon zenye maumbo ya ajabu na vitu vingi kwa pamoja nothing beat tsf launcher even hio spb ipo humu.
hii tsf ina widget nzuri sana za saa na calender kama unavyoona
Hii launcher naona kuna rooted phone itasumbua kuiweka coz inataka cm isiwe rooted,na ukitaka kwa rooted phone ina procces hadi kero labda tusubiri wataalamu mtupe maujuzi si unajua vichwa vyetu vilivyo vizito
Launcher gani mkuu maana mdau alibainisha Aviate launcher na Z launcher...sasa ni ipi hapo inasumbua?