Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,512
Nape Nnauye kwa ujinga tu na kukosa akili alidhani anaweza nyanyua mabega.akidai amekibeba chama.akagundua kuwa yeye hana impact yoyote kubwa watu wanaweza mtapika.akarudi kuomba msamaha kwa magoti.misemo yote kaisahau kwa sasa. Anasifu na Kuabudu.
Kuna watu walimkuza sana January Makamba mpaka naye akaanza jiona ni mkubwa. Wakubwa wakasema "hiii yaani hata haka ka makamba?" Wakambana mbavu. Akarudi kwa magoti kuomba msamaha. Sasa yupo wapi? Anasifu na kuabudu.
Huyu Bernard Membe. Wapinzani wapuuzi wengi walidhani ana meno. Nlishangaa membe meno kayatoa wapi?ni sawa na mbwa anayebweka kumbe kibogoyo.
Alianza kujenga kama mnara wa babel...watu wamechanganyishwa lugha. Mbona hatu wasikii tena Mkimuita Jasusi Mbobezi? Alisema akiguswa atanuka. Hakusema atanukia kama Ua Waridi.watu wamemgusa na HAKUNA HARUFU ILIYOTOKA.
Wapinzani tafuteni mtu sahihi wa kumtingisha Magufuli. Siyo hao wachovu mnaodhani wanaweza fanya kitu. Hamna lolote.
Na nyie muache upuuzi na Ujinga wa kuokoteza okoteza makapi halafu mkayakuza. Mchukueni Membe sasa...maana yupo yupo tu kama tambala la jalalani halifai hata kwa dekio.
Hakuna anayehangaika naye kwa sasa. Na simu zake watu hawapokei. Kifupi hawataki jihusisha naye tena.muda si mrefu ataomba msamaha au atakufa kwa sononi.
Kuna watu walimkuza sana January Makamba mpaka naye akaanza jiona ni mkubwa. Wakubwa wakasema "hiii yaani hata haka ka makamba?" Wakambana mbavu. Akarudi kwa magoti kuomba msamaha. Sasa yupo wapi? Anasifu na kuabudu.
Huyu Bernard Membe. Wapinzani wapuuzi wengi walidhani ana meno. Nlishangaa membe meno kayatoa wapi?ni sawa na mbwa anayebweka kumbe kibogoyo.
Alianza kujenga kama mnara wa babel...watu wamechanganyishwa lugha. Mbona hatu wasikii tena Mkimuita Jasusi Mbobezi? Alisema akiguswa atanuka. Hakusema atanukia kama Ua Waridi.watu wamemgusa na HAKUNA HARUFU ILIYOTOKA.
Wapinzani tafuteni mtu sahihi wa kumtingisha Magufuli. Siyo hao wachovu mnaodhani wanaweza fanya kitu. Hamna lolote.
Na nyie muache upuuzi na Ujinga wa kuokoteza okoteza makapi halafu mkayakuza. Mchukueni Membe sasa...maana yupo yupo tu kama tambala la jalalani halifai hata kwa dekio.
Hakuna anayehangaika naye kwa sasa. Na simu zake watu hawapokei. Kifupi hawataki jihusisha naye tena.muda si mrefu ataomba msamaha au atakufa kwa sononi.