Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,439
- 6,692
Halmashauri Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) imemteua Benson Kigaila kuwa Makamu Mwenyekiti mpya wa chama hicho.
Kigaila ambaye alikuwa akiunda kundi la G55 lililoanzisha harakati na kwenda kinyume na uongozi wa sasa wa Chadema, ametangazwa leo kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Chaumma kinachoendelea jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu Mei 19, 2025.
Awali, Kigaila alikuwa akihudumu kwenye Sekretarieti ya Chadema kama Naibu Katibu Mkuu-Bara.
Kigaila ambaye alikuwa akiunda kundi la G55 lililoanzisha harakati na kwenda kinyume na uongozi wa sasa wa Chadema, ametangazwa leo kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Chaumma kinachoendelea jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu Mei 19, 2025.
Awali, Kigaila alikuwa akihudumu kwenye Sekretarieti ya Chadema kama Naibu Katibu Mkuu-Bara.
