This time zitashuka hata kama sio 10% kwa sababu BOT wamechukua hatua za kisera ambazo ndio muhimu kushusha riba.Miaka ya awali yalikuwa matamko yanaishia hewani ilikuwa hayatekwleseki
Yes zamu hii lazima riba zipungue maana hizo ni hatua za kisera na lengo ni kuimarisha uchumi wa nchi uliokuwa umesinyaa