Benki zitaanza kutoza riba chini ya asilimia 10 lini kufuatia agizo la Rais na Taarifa rasmi kutoka Benki Kuu ya Tanzania?

Tuambizane bank yenye interest ndogo tuelekee huko,sio mnatunishiana misuli
Hadi sasa commercial bank yenye interest ndog ni CRDB,16%.......nimeongea na meneja wa tawi flani pale posta muda si mrefu,..huku nikimuuliza haya maswali niliyoyauliza hapa jamvini,..akaniambia ni kweli hii taarifa imewafikia na wao wanaona namna gani nzuri ya kuendana na hii policy....akaongezea kwa kua mabanks yapo chini ya B.O.T basi na wao hawana shaka kufuata haya maagizo,ikizangatiwa hata wao wataneemeka maana mwanzo walikua wanakopa zaidi ya 10% B.O.T...ila kama wanaweza kukopa chini ya 3%,itakua ni jambo jema kwao na kwa wateja wao.
Ni hayo tu mkuu.
The lower the interest rate the higher the economy
 
Punguza hasira. Usijiue kwa ajili ya riba. Hakuna mtu atakukopesha bila riba ama riba negative. Tafuta pesa kwa njia nyingine. Mi sina benki lakini wenye mabenki si hao umesoma habari zao hapa hapa...
Hata kukopa ni means ya kutafuta pesa,imagine unakopa 50M kwa 10%.....mwengine amekopa 50M kwa20%....interest rates....huoni wa 10% ana unafuu wa interest rate kwa the same business watakaoifanya?
Tuendelee kufanya surgery mkuu, ili tupate pesa,tusomeshe watoto wasije kua wajinga wakiamini kukopa sio njia ya kumove kiuchumi
 
Omba sana mabenki yashushe riba ukope pesa zetu. Tena omba negative interest kwenye deposits zetu.
Yah hilo ni suala ambalo kila binadamu mwenye akili timamu analiombea.
Hata government hukopa mikopo ya riba nafuu ku-runs project zake.
So hamna jipya kwenye hii theory
 
Bwana genius, kukopesha nayo ni njia ya kukuza uchumi wangu. Nakuombea riba iwe -0.1%.
Hata kukopa ni means ya kutafuta pesa
emoji38.png
emoji16.png
emoji16.png
,imagine unakopa 50M kwa 10%.....mwengine amekopa 50M kwa20%....interest rates....huoni wa 10% ana unafuu wa interest rate kwa the same business watakaoifanya?
Tuendelee kufanya surgery mkuu, ili tupate pesa,tusomeshe watoto wasije kua wajinga wakiamini kukopa sio njia ya kumove kiuchumi
emoji38.png
emoji16.png
emoji1732.png
emoji125.png
emoji125.png
emoji125.png
 
Bwana genius, kukopesha nayo ni njia ya kukuza uchumi wangu.
Yah loans credit with lower interest rate ni among the way ya kuboost economy.
Note that:the lower the interest rates the higher the economy.
Ni zuzu peke yake atafurahia interest rates kuwa kubwa.
anayekopa 50M akarudisha 10M,ana nafuu kuliko anayekopa 50M na kurudisha 20M.......
 
Mi ni zuzu. Nafurahia interest rate kubwa kwenye deposits zangu, genius.
Yah loans credit with lower interest rate ni among the way ya kuboost economy.
Note that:the lower the interest rates the higher the economy.
Ni zuzu peke yake atafurahia interest rates kuwa kubwa.
anayekopa 50M akarudisha 10M,ana nafuu kuliko anayekopa 50M na kurudisha 20M.......
 
Genius - unategema watu bilion 7 duniani wote waombe mvua inyeshe? Utakuwa na akili sana wewe.
Tusitoke nje ya mada doctor mfanya surgery.......kwa kua una pesa bank na riba ya benki ni kubwa haimaanishi kua benki wakishusha riba basi utapata hasara........
Ni zuzu pekee ndio anafurahia riba ya banks kua kubwa......kila mwenye akili duniani anafurahia interest rate ishuke.....
 
Mi ni zuzu. Nafurahia interest rate kubwa kwenye deposits zangu, genius.
Hapana wewe sio zuzu.......ila kama kuna mtu anafurahia interest rate kubwa inayotozwa na banks huyo kweli ni zuzu.......banks zenyewe zina hustle kukopa hizo pesa B.O.T kwa rate kubwa.....so hata wao zikishuka watapata wateja wengi na liquidity itaongezeka
 
Mi kwa hakika nafurahia interest kubwa ambayo benki inanipa kwenye deposits. Na ndio uzuzu wangu huo.
Hapana wewe sio zuzu.......ila kama kuna mtu anafurahia interest rate kubwa inayotozwa na banks huyo kweli ni zuzu.......banks zenyewe zina hustle kukopa hizo pesa B.O.T kwa rate kubwa.....so hata wao zikishuka watapata wateja wengi na liquidity itaongezeka
 
Wakushushie wewe, genius. Mimi zuzu naomba nipandishiwe interest kwenye deposits zangu benki. Kila mtu ana lake la kuomba. Kama kweli wewe una pesa benki na unaomba benki ipunguze interest wanayokulipa basi wewe kweli genius.
Ni zuzu pekee ndio anafurahia riba ya banks kua kubwa......kila mwenye akili duniani anafurahia interest rate ishuke.....
 
Wakushushie wewe, genius. Mimi zuzu naomba nipandishiwe interest kwenye deposits zangu benki. Kila mtu ana lake la kuomba. Kama kweli wewe una pesa benki na unaomba benki ipunguze interest wanayokulipa basi wewe kweli genius.
Sawa mkuu.
 
wajameni kila rais aliyetawala nchi hii alisema hilohilo!!!, na majibu ya wenye mabenki ni yaleyale!!!, hili si suala la maagizo ni suala la kibiashara bila kutanzua tatizo lililopo la kuhusu mabenki na wateja wao sio rahisi rais kutoa maagizo na yakafuatwa.
 
Kwenye hayo mabenki wanene wana hisa zao huko hivyo hilo swala litasuasua sana
Nashauri Gavana wa BOT atumbuliwe kwa sababu ameshindwa kusimamia utekelezaji wa maelekezo ya mama yetu.Hii ni dharau kabisa.Mama kichwa hicho cha gavana kula.
 
wajameni kila rais aliyetawala nchi hii alisema hilohilo!!!, na majibu ya wenye mabenki ni yaleyale!!!, hili si suala la maagizo ni suala la kibiashara bila kutanzua tatizo lililopo la kuhusu mabenki na wateja wao sio rahisi rais kutoa maagizo na yakafuatwa.
Hii ni changamoto ya nchi yetu aiesee...lakini hio walioitoa ni monetary policy,ambazo mabenki huwa wanazifuata kutoka benki kuu...tuendelee kuvuta subira na kuwauliza uliza commercial banks....hakuna kisichoshindikana
 
Nilienda kwenye hizi benki za wananchi kuulizia utekelezwaji wa mwongozo huo ili nikope mtumishi mmoja akaniambia 'utasubiri saana'! hivyo ufuatialiaji wa karibu ufanyike ili tufurahie maisha
 
Back
Top Bottom