Benki ya Dunia yaipa Tano DAWASA usimamizi wa miradi

Benki ya Dunia yaipa Tano DAWASA usimamizi wa miradi

Sababu za jf kufungiwa ni kukiuka sheria(hiyo ndio sababu iliyotajwa na TCRA), hivyo yoyote anayeitumia akiwa Tanzania anafanya kosa.

Tafuta utetezi mwingine.
Jf haijafungiwa kiujumla wake mkuu, imepigwa pin kwa hapa nchini, ndo maana ukiwa nje ya nchi unapata access bila tabu,

Kwakua jf ni kubwa sana labda dawasa wamepata kibali cha kutumia vpn ili watanzania walio nje ya nchi kwenye jukwaa hili wapate habari za dawasa
 
Jf haijafungiwa kiujumla wake mkuu, imepigwa pin kwa hapa nchini, ndo maana ukiwa nje ya nchi unapata access bila tabu,

Kwakua jf ni kubwa sana labda dawasa wamepata kibali cha kutumia vpn ili watanzania walio nje ya nchi kwenye jukwaa hili wapate habari za dawasa
Kitu kilichofunguwa na serikali kwa kukiuka sheria, alafu taasisi ya serikali iruhusiwe kutumia hiko kitu? Mkuu huu utetezi hauna maana

Zipo platforms nyingi ambazo dawasa inaweza kutumia kufikisha taarifa kwa watu.

Tusiukatae ukweli kuwa hawa watu ni akili ndogo
Hata twitterbwameifungia kwa kukosa maadili lakini kina gerson, huyo bibi na viongozi wengine wanaitumia
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom