Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Mashariti ya kutasaidia watanzania ni haya.
1.Tubadili sheria ya uchaguzi wanaojiuzulu au kuhama vyama nafasi zao zichukuliwe na washindi wa pili kama hatutaki sitisheni mikopo.
2.Tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, kama hatutaki sitisheni mikopo.
Na ikiwezekana hata nchi wahisani mnaotupa misaada muungane na Benki ya Dunia na IMF katika kuweka mashinikizo.
Tukiwa na tume huru viongozi wateheshimu wananchi na haya maamuzi ya hovyo hovyo hayatakuwepo /yatapungua.
Pia,hata misaada na mikopo mnayotupa haitatusaidia kujkwamua iwapo tutaendelea kupoteza hela kuruda uchaguzi kwasababu za kijinga na kipuuzi kabisa kwa masilahi ya wanasiass wachache wasiojali hatima ya maisha ya watanzania.
1.Tubadili sheria ya uchaguzi wanaojiuzulu au kuhama vyama nafasi zao zichukuliwe na washindi wa pili kama hatutaki sitisheni mikopo.
2.Tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, kama hatutaki sitisheni mikopo.
Na ikiwezekana hata nchi wahisani mnaotupa misaada muungane na Benki ya Dunia na IMF katika kuweka mashinikizo.
Tukiwa na tume huru viongozi wateheshimu wananchi na haya maamuzi ya hovyo hovyo hayatakuwepo /yatapungua.
Pia,hata misaada na mikopo mnayotupa haitatusaidia kujkwamua iwapo tutaendelea kupoteza hela kuruda uchaguzi kwasababu za kijinga na kipuuzi kabisa kwa masilahi ya wanasiass wachache wasiojali hatima ya maisha ya watanzania.