Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,260
Kwa kitu gani?
Walioshikwa wanajua mkuu!
Kwa kitu gani?
Hakika hujamuelewa uliyemquote. Pole mkuu.Na makamanda wanafurahia. Wanapenda hata ushoga uhalalishwe ili misaada imiminike. Ha ha ha.
Una kadi namba ngapi ya ccm?Naomba taarifa hii isiwe sahihi ila ile ya Rais wetu ndo iwe sahihi otherwise hata sijui kama kwanini tunataka kutengeneza taifa linalosimama kwa kuaminishwa matangopori kila uchao. Hivi lengo ni nini?
Wewe uliyemuelewa huyo kamanda "mquote" basi.Hakika hujamuelewa uliyemquote. Pole mkuu.
Narudia tena, hujamuelewa uliyemquote, rudi ukasome upya sentensi hiyo fupi yenye maana kubwa . Full stop.Wewe uliyemuelewa "mquote" basi.
Kumbuka huu mkopo uko kwenye pipeline toka 2010 wala sio juhudi za serikali hii.Vyote hivi ni visingizio, iliyowauma ni hoja ya USENGE tu
Narudia tena, wewe uliyemuelewa huyo kamanda rudi tena "umquote" kama unataka. Full stop.Narudia tena, hujamuelewa uliyemquote, rudi ukasome upya sentensi hiyo fupi yenye maana kubwa . Full stop.
HahahahaNa makamanda wanafurahia. Wanapenda hata ushoga uhalalishwe ili misaada imiminike. Ha ha ha.
ATM ikitema tu tujue fisiem wamikubali mashartiHii ndio shid ya hawa wasomi wa dunia ya kwanza. Wao hunyoosha tu.
Una kiwango gani cha elimu?Una kadi namba ngapi ya ccm?
Kwa hiyo mkopo mpaka wenyewe wajiridhishe kupitia wataalamu wao ndio watatoa na sheria ya takwimu lazima ifanyiwe marekebisho...
Sasa mbona Ngosha hakuongea hayo juzi.? Alificha akijua itakuwa siri.?
Magufuli alipochaguliwa kuwa raisi wa awamu ya tano akajifikiri baaaaass!!..yeye ndio raisi wa dunia hivi alijua dunia nzima ni kama mkoa geita na mwanza.?!!!
Wiki 2 zilizopita benk ya Dunia ilitangaza kupitia vyombo mbali mbali vya habari Duniani kua imefuta mkopo wa Dollar Million 300 kwa Tanzania baada ya sera ya kuwafukuza watoto wanaopata ujauzito shuleni kutokutolewa ufafanuzi wa kueleweka pamoja na sheria ya takwimu.
Baadae juzi benki ya Dunia ikaridhia kuidhinishwa kuachiwa kwa hizo hela.
Akiongea na BBC Focus on Africa, waziri Mahiga amesema benki hiyo ilikubali kuachia pesa hizo baada ya serikali kuihakikishia kua inabuni njia mbadala ya kuwapatia elimu wabinti watakaopata ujauzito shuleni.
=======
Baada ya kuzungumza na Serikali, makamu wa Rais wa Benki ya Dunia (WB) Kanda ya Afrika, Dk Hafez Ghanem amesema kuna masharti wamekubaliana kabla Tanzania haijapewa mkopo wa Dola 300 milioni za Marekani (Sh680.5 bilioni) kwa ajili ya kuboresha elimu nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dk Ghanem alisema benki hiyo inatoa fedha kwa ajili ya wasichana wote bila kujali hali zao, hivyo kuwatenganisha kwa kigezo cha ujauzito au kingine chochote ni kwenda kinyume na mkakati wa elimu jumuishi.
“Wataalamu wetu watashirikiana na Serikali kuona ilivyojiandaa kutoa elimu kwa wasichana wote. Tutakapojiridhisha bodi ya wakurugenzi itaidhinisha mkopo husika. Kuchelewa kwake kutategemea lini Serikali itatekeleza masharti tuliyokubaliana,” alisema.
Mkopo huo ilikuwa ujadiliwe na kuidhinishwa Oktoba 30, lakini kutokana na msimamo wa Serikali kutotoa fursa ya kuendelea na masomo wasichana wanaopata mimba, bodi ya benki hiyo ilisitisha kuujadili. Kwa utaratibu wa benki hiyo, kabla mradi wowote haujaidhinishiwa fedha zinazohitajika, huujadili kwanza.
“Mradi wa Tanzania haujajadiliwa. Lakini kwa mazungumzo tuliyofanya, utajadiliwa Serikali itakapotimiza masharti tuliyokubaliana,” alisema Dk Ghanem.
Baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam juzi, Rais John Magufuli alisema benki imekubali kutoa fedha hizo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, mabweni, maabara, nyumba za walimu na vifaa vya kufundishia.
“Kwa hiyo, (Dk Hafez) amekuja kututhibitishia kuwa Benki ya Dunia haitatuacha,” alisema Rais Magufuli.
Vilevile, Dk Ghanem alisema walizungumzia mabadiliko ya Sheria ya Takwimu na wameishauri Serikali kuhakikisha wadau wake wanakuwa huru kukusanya na kutumia takwimu.
Alisema WB haiwezi kufanya kazi bila takwimu ambazo zitakusanywa kwa uhuru, lakini masharti yaliyomo kwenye muswada, huenda yakazorotesha ufanisi wake.
Mabadiliko ya Muswada wa Takwimu yaliyofanyika mwaka huu na kuridhiwa na Bunge, yanazuia mtu au taasisi yoyote kukusanya, kutafsiri au kutumia takwimu lazima zithibitishwe na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).
Mwananchi
How civilised unataka wawe? wana serikal zao na wanafuata sheria. Otherwise wangeweka masharti ya ajab ajab tu.Hawa watu sio civilised!
kwahiyo unakubali kuwa kashikwa na wazungu sio?Pole mkuu,usijifananishe na Rais! Akishikwa jua na wewe kabwela umeshikwa,ila ukishikwa wewe..kwake haina tatizo sana itamuumiza kwanini umeshikwa kutokana na mapenzi yake kwa wananchi.