Halafu mjinga mmoja anasema uchumi umekuwa kwa kuangalia namba E kwenye magari barabarani,mara tukaishi Burundi. Ee Mungu ikupendeze kwa mtu huyu umuite kwako kwa ajili ya hukumu ya haki! Utuondolee Ee BWANA twakusihi kwa maana amejaa kiburi na dharau kwa watu wako. Amen.Tofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.
Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!
Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.
Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.
Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
Ccm na umaskini vimefunga ndoaUmasikini ndio mtaji mkuu kwa CCM, yaani bila umasikini kusingekuwa na CCM, na pia kumbuka hawako tiyali kuona umasikini unaisha.
Angalia maeneo yenye umasikini mkubwa CCM ilivyo na nguvu
Awamu hii WB imewaumbua wazi waziHal
Halafu mjinga mmoja anasema uchumi umekuwa kwa kuangalia namba E kwenye magari barabarani,mara tukaishi Burundi. Ee Mungu ikupendeze kwa mtu huyu umuite kwako kwa ajili ya hukumu ya haki! Utuondolee Ee BWANA twakusihi kwa maana amejaa kiburi na dharau kwa watu wako. Amen.
Halafu anasimama mpuuzi mmoja anasema namba E zimejaa barabarani, mara harusi zinajaa na kadhalika...Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi
Nakulilia Tanzania
Hata bila hiyo taarifa, halisi halisi ya maisha kwa watanzania wengi inaendelea kuwa ngumu kila kukicha.Acha kuongea kama mjinga tupe jina la hiyo taarifa na imetolewa mwaka gani
upotoshaji ni hatua mbaya sana ya kukosa hoja,Tofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.
Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!
Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.
Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.
Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
We kima, unahitaji jina la taarifa kwani huoni hali za watanzania tuliowengi?Acha kuongea kama mjinga tupe jina la hiyo taarifa na imetolewa mwaka gani
ungejua wafanyakazi wa viwanda uchwara hela wanaolipwa kwa siku usingeona hiyo hela ni ndogoAcha uongo na chuki zako dhidi ya serikali, kweli mlo mmoja ili khali debe la mahindi kwa sasa ni sh 8000!!!!?
Kabisa!Awamu hii WB imewaumbua wazi wazi
Ila Dar kiboko, nyumba nyingine wanapika chai tu, vitafunwa kila mtu atajijua!Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi
Nakulilia Tanzania
Hivi ugali ni chakula cha maskini???? Hivi ni nchi gani nyingine inatumia ugali ukitoa Tz??Hata bila hiyo taarifa, halisi halisi ya maisha kwa watanzania wengi inaendelea kuwa ngumu kila kukicha.
Tunachokiona kwenye maandishi yao kuhusu taarifa ya hali ya uchumi wa nchi, ni tofauti sana na Hali halisi ya uchumi wa wananchi, hususani wale wa kawaidaMsosi ushakuwa anasa kwenye nchi hii
- ma LC300 kila kona ya nchi kwa kila kiongozi kuanzia level ya idara serikalini
- Discovery ni kwa wale wote walioibukia kipindi cha mama na Forester, CRV, Volvo TC, Highlander, Vanguard, Lexus, Harrier kalio la ngedere, ML, BMW X1, 3 na 5 n.k ikiwa ndo watumishi wenye mianya yao na wafanyabiashara wa kawaida!
- Dualis, Rumion, IST, n.k imekuwa ni kwa wale waliokosa namna ndani ya kizimkazi
Sasa hilo kundi hapo juu, halizidi watu milioni moja kwa Dar es salaam na milioni 5 kwa nchi nzima.
Watu zaidi ya milioni 50 wa hili pande la ardhi, ndio hao wanasubiri ruzuku na makombo yanayobakia mezani baada ya hao wezi kusaza.
Nimesikia kiongozi wao kasema, mihela yote inaelekezwa kuhonga wapiga kura kwenye hizi siku 731.5 sijazo.
Ukiingia kwenye data zao, inflation haijawahi kufika 5, ukiangalia bidhaa moja kubwa inayoadhiri kila kitu, ime-inflate kwa takribani mara mbili na kusababisha kila kitu kitikisike, bado wasomi wanasema inflation ni 3.5%....nadhani mwenzao aliposema kule wanakopewa hayo maarifa ni jalalani, alikuwa 99.99% sawia.
Mbona Benki ya Dunia ikitoa taarifa za Uchumi kukua Huwa mnapinga? Ila ilisema umaskini inaongezeka basi mnafurahi si ndio? π€ͺπ€ͺTofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.
Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!
Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.
Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.
Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
Picha Tafadhali mliyopiga wakila ugali mfupi saa 10.Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi
Nakulilia Tanzania
Tzn hii ukishindwa kula Milo walau 2 si Bora ufe Sasa maana msosi ni buku jero Hadi buku 2Hayo ndiyo maisha ya watanzania walio wengi.
Watanzania wachache kina Mwigiluuu, ndiyo wanaoogelea kwenye utajiri wa kutisha!π
Kuna methali ya Kiswahili inayosema, aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Kwanza unaelewa maana ya uchumi kukua? Isijekuwa unaongea usichokijua.Uchumi wa Tanzania unakuwa kwenye makaratasi, wakati mifukoni mwa watanzania walio wengi imekauka!π
Hali halisi ikoje? Unaelewa maana ya uchumi kukua?Tunachokiona kwenye maandishi yao kuhusu taarifa ya hali ya uchumi wa nchi, ni tofauti sana na Hali halisi ya uchumi wa wananchi, hususani wale wa kawaida
Sijui nikutukane au niache au nisubirie ufafanuziHivi ugali ni chakula cha maskini???? Hivi ni nchi gani nyingine inatumia ugali ukitoa Tz??