Kubwjing
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 1,787
- 2,665
Wasalaam nyote.
Wakuu sipo kwa ajili ya kuharibu biashara au brand ya kampuni yoyote ile, kwani mie sina ubiya wala ushindani na yeyote.
Ila Wallah, leo hii katika kutoa pesa zangu katika benki ya CRDB kiasi kilichokuwepo na kile nachopaswa toa kuna shilingi 24,000/= imemegwa
Kwanza hakukuwa na uwezekano wa kutoa pesa kwa CRDB masiku kadhaa eti, sasa ishawezekana washaniibiia pesa hizo.
Wakuu sipo kwa ajili ya kuharibu biashara au brand ya kampuni yoyote ile, kwani mie sina ubiya wala ushindani na yeyote.
Ila Wallah, leo hii katika kutoa pesa zangu katika benki ya CRDB kiasi kilichokuwepo na kile nachopaswa toa kuna shilingi 24,000/= imemegwa
Kwanza hakukuwa na uwezekano wa kutoa pesa kwa CRDB masiku kadhaa eti, sasa ishawezekana washaniibiia pesa hizo.