mdaharunga
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 413
- 396
Kuna nyingine imeingia nchini inaitwa Qnet. Hawa ni balaa. Unajiunga kwa kiwango cha milioni tano ukihakikishiwa kuwa bilionea ndani ya mwaka mmoja.
Mbaya zaidi ilizinduliwa na mh Kigwangala na inapigiwa upatu na gazeti moja hapa nchini
Mbaya zaidi ilizinduliwa na mh Kigwangala na inapigiwa upatu na gazeti moja hapa nchini