NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 600
- Thread starter
- #41
Hata wale wanaija huanzaga ivi ivi, ukiingia king, utaskia, baba yangu alifariki kwa vita, kaniachia dola laki 9, na mimi niko kambi ya wakimbizi, nitumie dola milion 2, nihonge askari, ili nikitoka tugawane dola laki 9.
Hahahaa. Mkuu haiko kihivyo. Hao wanaija ni matapeli tu Mimi ninamishemishe zinanisongesha.