Benifica vs Chelsea

Torres na Luisao kazi ipo leo.wamegeukia WWE!
 
Huyu kocha wa Benfica na zile nywele zake kama Shakespeare vile!
 
Cardozooo!what a spectacular save from Cech!
 
Lampaaard!oh my God!ule mwamba wa goli haujavunjika kweli?!
 
Kwani lazima ipigiwe darajani ndo libomoke, the blue colour will turn red tonight... plastic whiners!

kama ulikuwa hujui,ukickia daraja kuvunjwa ujue chelsea alikuwa nyumbani
 
Ivanovic!what a header!Chelsea are Champions!
 
Ndio basi tena la kuvunda halina ubani, wanajipanga kwa kona bila hata beki mmoja kusimama kwenye nguzo?
 
natamani ningekuwa na namba yako, chelse is not MAN U ati au uelewi, utashinda bila ata kusumbka!

hapa ndo nataka kukumbusha ugumu wa mchezo naona goli. Hongera sana.

kweli kabati za the Blues haziwezi lala njaa.
 
Wanalia nini hawa Benfica?magoli yote waliyokosa yale wajilaumu wenyewe!Chelsea ni masniper wa ushindi na leo yale yalee ya Barca!
 
nadhani mmejionea wenyewe yaliyotokea hapo kwa final
 
mwanangu umeiona hiyo! torreeeeeeeees...........chezea chelsea wewe!
kaka unakumbuka kile kitimu cha Hispania kimetufanye je? Man U mambo yake mwaka jana yakuwa hivyohivyo walianza Hispania wakapigwa wakaja Ureno wakatolewa. Tukutane online jioni mkuu.
 
Congratulations to all darajanis!kwa mzee Rafa mtabeba hata kombe la dunia,tatizo ligi!
 
Congratulations to all darajanis!kwa mzee Rafa mtabeba hata kombe la dunia,tatizo ligi na hasa vijitimu vyetu vile vya sunderland,everton,wigan and the likes!
 
Ukiwa shabiki wa CHELSEA raha sana!! Haya washabiki wa Arsenal,Liverpool,Manchester united and city mkalale sasa dua zenu zimegonga mwamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…