Benifica vs Chelsea

Benifica vs Chelsea

The blues sasa hivi noma hapa benefica ni mboko kwenda mbele chezea hazard huy ujamaa kweli janga kwa timu pinzani....viva chelsea....! Laaaaaampard
vp wadau wa sports kesho ndiyo fainal ndogo ya uefa mnaizungumziaje?
 
Natangaza kuwa mimi ni mfuasi na mshabiki sugu wa chelsea hapa kesho napeti...chls-bnfc(2-0)
 
Kesho inatakiwa ampange lampard ni mzoefu wa game kama hizi,alafu luiz achukue namba sita.
 
SUPER FRANKIE lazima atupie zake mbili safi halafu Ustaadh Demba BA ana lake moja na Mata atamalizia! Full time sisi 4 wao 1 tena la kupewa maana ni la offside.

BLUE IS THE COLOUR ,FOOTBALL IS THE GAME, WE ARE ALL TOGETHER AND WINNING IS OUR AIM!!!!
 
wakuu,
mi ni mpenzi wa the blues ila timu za Ureno na Hispania naziogopa sana.
 
Plastic fans utawajua tu,
Hazard is out of the game kwa sababu ya hamstring injury, Demba Ba is a cup tie coz alishaichezea Newcastle kwenye haya mashindano.

???????!!!!!!!!!!!!!!!!
 
acha unazi usio unaokubaliana na ukomunist toles mwenyewe anawatosha bnfc!
Plastic fans utawajua tu,
Hazard is out of the game kwa sababu ya hamstring injury, Demba Ba is a cup tie coz alishaichezea Newcastle kwenye haya mashindano.

???????!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Vp wadau wa sports kesho ndiyo fainal ndogo ya uefa mnaizungumziaje?

Unawezaje kuandika kitu cheap sana kama hiki mkuu? Kwanini wewe usiseme kwanza unavyoiona wewe halafu na sie ndio tukatoa mtizamo wetu kuliko kuuliza tu wenzio wanaonaje ilhali hufanyi kura ya maoni?

Embu kua kidogo...
 
acha unazi usio unaokubaliana na ukomunist toles mwenyewe anawatosha bnfc!

Unazi uko wapi hapo au unakurupuka tu kujibu ambacho hujaulizwa?

Nilikua nashangaa how comes the so called "blues fans" hawajui details ndogo kama hizo about their own team? Sasa na wewe badala ya kuwasaidia maoyaoya wenzako hao unaishia kukurupuka kama umekurupushwa usingizini.

Ona sasa umemwaga uharo hadharani!!!!
By the way sio toles it's Torres.

Jifunze kushirikisha ubongo, acha masaburi yafanye kazi yake!
 
unajua mnakera sana mnaojifanya na kutamani kila mtu awe mchambuzi wa mpira,,,,,,! wapo ambao wako bize na kazi zao wanachojua ni muda gani game wanaenda kushangalia timu yao,,,,,sasa basi nyie vielele[mtu kaona mpira alafu umwadisia haipendezi mnaudhai sana! usidhani wengine hatujui tunanyamaza kumshika hekima! QUOTE=Mourinho;6359469]Unazi uko wapi hapo au unakurupuka tu kujibu ambacho hujaulizwa?

Nilikua nashangaa how comes the so called "blues fans" hawajui details ndogo kama hizo about their own team? Sasa na wewe badala ya kuwasaidia maoyaoya wenzako hao unaishia kukurupuka kama umekurupushwa usingizini.

Ona sasa umemwaga uharo hadharani!!!!
By the way sio toles it's Torres.

Jifunze kushirikisha ubongo, acha masaburi yafanye kazi yake![/QUOTE]
 
Back
Top Bottom