Bendera za CCM zaiteka Arusha

Bendera za CCM zaiteka Arusha

Meningitis is a relatively rare infection that affects the delicate membranes -- called meninges (men-in'-jeez) -- that cover the brain and spinal cord. Bacterial meningitis can be deadly and contagious among people in close contact.
 
halafu bulembo kasema hawana shida na kura za kaskazini....sijui kwa nini bado mnajipendekeza??
 
Kama bendera na mabango yatapiga kura ccm hamuhitaji bao la mkono
 
Bendera ni ishara muhimu !
Kabla ya leo hatukuzowea kuona bendera za ccm Arusha.
 
Walete hadi Mbulu walipotuwekea mgombea alieishia darasa la 4,na juzi katoa kali ya mwaka baada ya kusema ametumikia jeshi miaka 5
 
Kuna kilaza m1 wa ccm ameweka bendera kwenye miti yote ya mji wa moshi ukienda kwenye nyumba za uswali zote ameweka picha mpaka anatia huruma sna, nasikia anampango wa kutandika kitamba cha kijani kweny barabara zote za lami mjini moshi.
Hapa kazi tu
 
Kama bendera na mabango yanapiga kura basi Magufuli Aapishwe aende ikulu.

Uliwahi kuleta mada hii hii kuwa bendera za ACT zimepamba mji wa ARUSHA..Akili yako kama ya mutoto.,leo ukatoa neno ACT ukaweka CCM
 
Kama bendera na mabango yanapiga kura basi Magufuli Aapishwe aende ikulu.

Uliwahi kuleta mada hii hii kuwa bendera za ACT zimepamba mji wa ARUSHA..Akili yako kama ya mutoto.,leo ukatoa neno ACT ukaweka CCM

Nashukuru kwa kunifuatilia...mimi napenda kuripoti ukweli...wewe uko Arusha unaonaje hali ya jiji?
 
Sambazeni sana hayo mabendera yenu ila mjue hayo ndo yanawatia hasira wananchi. Arusha ccm mnajifurahisha tuu.
 
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.

Unadhani tunaziona basi........tupo busy kukata namba za tarehe kila siku kuelekea tar 25 Oct..........kama una zingine nipe niweke.......huku Kijenge zipo chache sana...........na huku Muriet hakuna kabisa........
 
Unadhani tunaziona basi........tupo busy kukata namba za tarehe kila siku kuelekea tar 25 Oct..........kama una zingine nipe niweke.......huku Kijenge zipo chache sana...........na huku Muriet hakuna kabisa........

Baby ni wewe tu umebakia kupambana jiulize wale ulioenda nao Amboni wako wapi?
 
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.

Ni bora kuwa kukosa pesa kuliko kuwa na 0 kichwani. Pole sana naona tayari mwenzetu kichwa chako kimeshakuwa generator
 
Back
Top Bottom