Bendera ya Mwanzo Kabisa ya CHADEMA yaonekana Kigoma

Bendera ya Mwanzo Kabisa ya CHADEMA yaonekana Kigoma

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,707
Reaction score
272,594
Ikumbukwe kwamba wakati mfumo wa vyama vingi unaingia nchini Tanzania , kutokana na shinikizo la Kimataifa mwaka 1992 , kulikuwa na matakwa ya kisheria yaliyowekwa na Serikali ya Tanzania ili kufuatwa na vyama vya siasa vilivyojitokeza kuomba usajili huo .

Pamoja na masharti Lukuki , yaliyowekwa ikiwemo chama kinachotaka kusajiliwa kuwa na angalau wanachama 200 katika angalau kila mkoa katika mikoa 10 ya Tanganyika , na mikoa miwili ya Zanzibar , Masharti mengine ni chama kuwa na Katiba yake na bendera yenye nembo itakayotumiwa na chama husika .

Sasa leo naileta kwenu vijana na wazee ambao labda kwa sababu mbalimbali hamkuifahamu BENDERA YA KWANZA KABISA ILIYOTUMIWA NA CHADEMA MARA TU BAADA YA KUSAJILIWA , bendera hii amekutwa nayo mwanachama wa Chadema huko Kigoma ambaye alihudhuria Mkutano wa Kanda ya Magharibi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa la Anglican Kigoma Mjini , mwanachama huyo amedai kuitunza bendera hiyo kwa kipindi cha miaka 29 .

Titus_Anthony_Wa_Kigoma_akiwa_na_bendera_ya_kwanza_ya_%40chadematzofficial.jpg
 
Ikumbukwe kwamba wakati mfumo wa vyama vingi unaingia nchini Tanzania , kutokana na shinikizo la Kimataifa mwaka 1992 , kulikuwa na matakwa ya kisheria yaliyowekwa na Serikali ya Tanzania ili kufuatwa na vyama vya siasa vilivyojitokeza kuomba usajili huo .

Pamoja na masharti Lukuki , yaliyowekwa ikiwemo chama kinachotaka kusajiliwa kuwa na angalau wanachama 200 katika angalau kila mkoa katika mikoa 10 ya Tanganyika , na mikoa miwili ya Zanzibar , Masharti mengine ni chama kuwa na Katiba yake na bendera yenye nembo itakayotumiwa na chama husika .

Sasa leo naileta kwenu vijana na wazee ambao labda kwa sababu mbalimbali hamkuifahamu BENDERA YA KWANZA KABISA ILIYOTUMIWA NA CHADEMA MARA TU BAADA YA KUSAJILIWA , bendera hii amekutwa nayo mwanachama wa Chadema huko Kigoma ambaye alihudhuria Mkutano wa Kanda ya Magharibi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa la Anglican Kigoma Mjini , mwanachama huyo amedai kuitunza bendera hiyo kwa kipindi cha miaka 29 .

View attachment 2181011
Hiki chama kiko kwenye damu za watu.

Ilelekwe Musseum wajukuu wetu watajifunza
 
Ikumbukwe kwamba wakati mfumo wa vyama vingi unaingia nchini Tanzania , kutokana na shinikizo la Kimataifa mwaka 1992 , kulikuwa na matakwa ya kisheria yaliyowekwa na Serikali ya Tanzania ili kufuatwa na vyama vya siasa vilivyojitokeza kuomba usajili huo .

Pamoja na masharti Lukuki , yaliyowekwa ikiwemo chama kinachotaka kusajiliwa kuwa na angalau wanachama 200 katika angalau kila mkoa katika mikoa 10 ya Tanganyika , na mikoa miwili ya Zanzibar , Masharti mengine ni chama kuwa na Katiba yake na bendera yenye nembo itakayotumiwa na chama husika .

Sasa leo naileta kwenu vijana na wazee ambao labda kwa sababu mbalimbali hamkuifahamu BENDERA YA KWANZA KABISA ILIYOTUMIWA NA CHADEMA MARA TU BAADA YA KUSAJILIWA , bendera hii amekutwa nayo mwanachama wa Chadema huko Kigoma ambaye alihudhuria Mkutano wa Kanda ya Magharibi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa la Anglican Kigoma Mjini , mwanachama huyo amedai kuitunza bendera hiyo kwa kipindi cha miaka 29 .

View attachment 2181011
Mungu ibariki CHADEMA
 
Ila wazee ni kweli Mbowe eti amesema sababu ya kushindwa uchaguzi wa 2020 ni kwa vile tuliweka wagombea dhaifu? Au MATAGA wamemlisha maneno?
 
Ikumbukwe kwamba wakati mfumo wa vyama vingi unaingia nchini Tanzania , kutokana na shinikizo la Kimataifa mwaka 1992 , kulikuwa na matakwa ya kisheria yaliyowekwa na Serikali ya Tanzania ili kufuatwa na vyama vya siasa vilivyojitokeza kuomba usajili huo .

Pamoja na masharti Lukuki , yaliyowekwa ikiwemo chama kinachotaka kusajiliwa kuwa na angalau wanachama 200 katika angalau kila mkoa katika mikoa 10 ya Tanganyika , na mikoa miwili ya Zanzibar , Masharti mengine ni chama kuwa na Katiba yake na bendera yenye nembo itakayotumiwa na chama husika .

Sasa leo naileta kwenu vijana na wazee ambao labda kwa sababu mbalimbali hamkuifahamu BENDERA YA KWANZA KABISA ILIYOTUMIWA NA CHADEMA MARA TU BAADA YA KUSAJILIWA , bendera hii amekutwa nayo mwanachama wa Chadema huko Kigoma ambaye alihudhuria Mkutano wa Kanda ya Magharibi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa la Anglican Kigoma Mjini , mwanachama huyo amedai kuitunza bendera hiyo kwa kipindi cha miaka 29 .

View attachment 2181011
Hawa ndio wenye Chadema kabla wahuni hawajaipoka
 
Back
Top Bottom