njundelekajo
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 310
- 227
Huko mkoani iringa wilaya ya mufindi kata ya malangali taharuki kubwa ilizuka baada ya wananchi pamoja na baadhi ya viongozi wa chama cha mapinduzi kushuhudia bendera ya kwanza ya chama cha upinzani tangu nchi ipate uhuru,bendera hiyo inasemekana iliwekwa usiku na vijana wa maeneo hayo