Bendera ya CCM haianguki na hatoigusa mchanga, kabla haijafika chini mwengine anaikamata na kazi inaendelea.
Wapinzani jifunzeni kukata tamaa maana hampo hata kwenye stage za kiushindani ,kama ni uzito basi uzito wenu ni mwepesi sana na bado kabisa kuingia katika ulingo wa mashindani ,mtabomolewa kila siku.
Samahanini kidogo ,ni mfano tu na sifananishi wala sithubutu kuwaweka aina hio ni ile mantiki ndio muhimu kuizingatia.
Sote tunawajua wale wanaoitwa Mbwa koko ,iwe usiku au mchana ukikutana nae ukamtisha basi mbio anazoondoka hapo si za kawaida na ukiokota jiwe ukamlenga nalo halafu limpate kidogo tu hizo kelele zake utasema haponi na ni kama amepigwa risasi.
Mbwa hawa huwa hatarishi pale wanapopata kichaa huwezi kumtisha wala kumtuliza ila kwa kutumia nguvu za ziada.
Vyama vyenu vya upinzani, huo ni mfano hai kimantiki na wanapocharuka inabidi tupate vyombo vya ulinzi na usalama kuwatuliza.
Hivi vyama vya upinzani vimepoteza muelekeo na havina tena dira ni kama viwiliwili vya nyoka waliokatwa vichwa vinasubiri kufa.
Humu CCM tuna taratibu zetu na mambo yetu yamekamilika kabisa,tunalinda utamaduni wa Chama Chetu inapotokea migogoro ya ndani tunasawazishana na wananchi wanatuelewa, na kama haitoshi wanazidi kutuunga mkono na sote tupo pamoja katika kuisimika bendera ya CCM,na Bendera hii haitogusa mchanga na kuanguka ,wapo tupo tutaidaka na kuisimamisha .
Wapinzani jifunzeni kukata tamaa maana hampo hata kwenye stage za kiushindani ,kama ni uzito basi uzito wenu ni mwepesi sana na bado kabisa kuingia katika ulingo wa mashindani ,mtabomolewa kila siku.
Samahanini kidogo ,ni mfano tu na sifananishi wala sithubutu kuwaweka aina hio ni ile mantiki ndio muhimu kuizingatia.
Sote tunawajua wale wanaoitwa Mbwa koko ,iwe usiku au mchana ukikutana nae ukamtisha basi mbio anazoondoka hapo si za kawaida na ukiokota jiwe ukamlenga nalo halafu limpate kidogo tu hizo kelele zake utasema haponi na ni kama amepigwa risasi.
Mbwa hawa huwa hatarishi pale wanapopata kichaa huwezi kumtisha wala kumtuliza ila kwa kutumia nguvu za ziada.
Vyama vyenu vya upinzani, huo ni mfano hai kimantiki na wanapocharuka inabidi tupate vyombo vya ulinzi na usalama kuwatuliza.
Hivi vyama vya upinzani vimepoteza muelekeo na havina tena dira ni kama viwiliwili vya nyoka waliokatwa vichwa vinasubiri kufa.
Humu CCM tuna taratibu zetu na mambo yetu yamekamilika kabisa,tunalinda utamaduni wa Chama Chetu inapotokea migogoro ya ndani tunasawazishana na wananchi wanatuelewa, na kama haitoshi wanazidi kutuunga mkono na sote tupo pamoja katika kuisimika bendera ya CCM,na Bendera hii haitogusa mchanga na kuanguka ,wapo tupo tutaidaka na kuisimamisha .