Benchi la ufundi Simba

MTAZAMO

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
19,643
33,432
Wakuu,

Ni muda mrefu sasa nina mashaka na uwezo wa benchi la ufundi la Simba. Hata ushindi tunaopata ni juhudi binafsi zaidi kuliko maelekezo ya kiufundi.

Mechi ya leo ni mfano bora kabisa. Huwezi kuanza kwa kumtumia kiungo kama Kahata ambaye anacheza staili inayofanana na viungo wa Yanga! Mechi ya leo ilihitaji viungo wenye kasi zaidi.

Hata timu inapoonesha kulemewa hakuna mabadiliko ya haraka! Timu inacheza vile vile wakati plan zimeshafeli. Mkude alihitaji msaidizi wa kukaba sababu ya staili yake ya uchezaji lakini kumpanga na watu slow na wasio wakabaji kama Kahata na Chama ilifeli mapema toka mechi ianze na kulikuwa na hatari ya kupata hata kadi nyekundu ilipaswa benchi la ufundi ku change plan haraka!

Simba ina chief coach ambaye hana experience na kufundisha club zaidi ya kupatia experience Simba. Wachezaji wanatoa kila walichonacho lakini plan mbovu kwa mechi za kimbinu kama hizi zinawaangusha.

Simba ina timu bora kabisa, tunahitaji pia benchi la ufundi bora ili kitumia vipaji vilivyopo vizuri.

Nimeandika hili baada ya kufatilia mechi nyingi zaidi ya mechi ya leo na pengine ushindi hututia upofu lakini zipo mechi nyingi makocha wa timu pinzani wanafanikiwa kimbinu lakini wanazidiwa na experience ya wachezaji wa Simba kimbinu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote tisa
Ila pia wakati mwingine chama awe na maamuzi ya haraka
Siyo kupoozesha wakati watu walishatengeneza nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi mechi za viungo kama wa Yanga haitakiwi kumtumia Chama kama kiungo. Bora acheze kama mshambuliaji. Ukiangalia vizuri Simba imecheza vile vile muda mrefu bila mabadiliko ya kimbinu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote tisa
Ila pia wakati mwingine chama awe na maamuzi ya haraka
Siyo kupoozesha wakati watu walishatengeneza nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi mechi za viungo kama wa Yanga haitakiwi kumtumia Chama kama kiungo. Bora acheze kama mshambuliaji. Ukiangalia vizuri Simba imecheza vile vile muda mrefu bila mabadiliko ya kimbinu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee mmeandika kile kipo mawazoni mwangu. Hakuna game plan kabisa. Na Chama kweli hii hulka anayo toka zamani. Anaweza kuua move nzuri iiyokwisha anzishwa
 
Wazee mmeandika kile kipo mawazoni mwangu. Hakuna game plan kabisa. Na Chama kweli hii hulka anayo toka zamani. Anaweza kuua move nzuri iiyokwisha anzishwa
Dakika 10 za mwanzo zilipaswa kubadili mbinu kabisa! Tumefungwa na benchi la ufundi la Yanga! Hata tukirudiana kesho tutafungwa tu! Huoni Simba ikibadilika kulingana na mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja 100%.

Dilunga, Kanda walitakiwa kuanza mapema kabisa, then either Boko au Kagere mmoja aanzie benchi plus Kahata. Game tungeimaliza mapema sana.

Kocha wa Simba bado mchanga, ila simlaumu kwa ile CV yake, hao viongozi waliompa kazi sijui waliona nini kwake, na nikikumbuka walimuacha Aussems uuuh!


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kocha kwa Patrick ni underdog ....hana mbinu kabisa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba wamrudishe Uchebe, huyu kocha sijawahi kumkubali, Pili Matola yuko vzuri akiwa head coach sio chini ya MTU, zaidi ya hapo atakuacha uharibu au atumie mbinu ili ukitoka apewe nafasi ya kuonyesha uwezo wake, na kwa mechi ya Leo kafanikiwa hasa,wampe tu timu tu kwa muda, huyu aliiweza Yanga akiwa Lipuli hawezi shindwa akiwa Simba, huu ndo ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba wamrudishe Uchebe, huyu kocha sijawahi kumkubali, Pili Matola yuko vzuri akiwa head coach sio chini ya MTU, zaidi ya hapo atakuacha uharibu au atumie mbinu ili ukitoka apewe nafasi ya kuonyesha uwezo wake, na kwa mechi ya Leo kafanikiwa hasa,wampe tu timu tu kwa muda, huyu aliiweza Yanga akiwa Lipuli hawezi shindwa akiwa Simba, huu ndo ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachezaji wanajitoa sana lakini hawana maelekezo sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbumbumbu Fc
FB_IMG_1572506602936.jpg
 
Kabisa! Kabisa! Kazi tunayo bado kimataifa. Ukichanganya na defence line ilivyo tepe basi kazi tupu.
Hatuwezi kwenda kimataifa na hii defence tuliyonayo, ujue sometimes as a good coach, anaweza badili mfumo ili kuongeza ufanisi kwenye defence, nakumbuka Aussems alikuwa akiona timu imeruhusu magoli ya kizembe next game anabadili mfumo, kama game ya kwanza tulicheza 4-3-3, game inayokuja ataenda 4-1-2-3, hii ilikuwa inasaidia kuongeza nguvu ya defence.

But huyu kocha wa sasa anarudia mfumo huo huo kila mechi licha ya kuruhusu magoli, mfano mechi ya Azam ilikuwa tupigwe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba wamrudishe Uchebe, huyu kocha sijawahi kumkubali, Pili Matola yuko vzuri akiwa head coach sio chini ya MTU, zaidi ya hapo atakuacha uharibu au atumie mbinu ili ukitoka apewe nafasi ya kuonyesha uwezo wake, na kwa mechi ya Leo kafanikiwa hasa,wampe tu timu tu kwa muda, huyu aliiweza Yanga akiwa Lipuli hawezi shindwa akiwa Simba, huu ndo ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Matola Hana leseni ya kua kocha mkuu..
 
Aisee
Hatuwezi kwenda kimataifa na hii defence tuliyonayo, ujue sometimes as a good coach, anaweza badili mfumo ili kuongeza ufanisi kwenye defence, nakumbuka Aussems alikuwa akiona timu imeruhusu magoli ya kizembe next game anabadili mfumo, kama game ya kwanza tulicheza 4-3-3, game inayokuja ataenda 4-1-2-3, hii ilikuwa inasaidia kuongeza nguvu ya defence.

But huyu kocha wa sasa anarudia mfumo huo huo kila mechi licha ya kuruhusu magoli, mfano mechi ya Azam ilikuwa tupigwe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom