NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,139
mbona unanchora ni mda tuu imetoka.. Kwa MIMI ukiniuliza msanii mkaree wa RnB jibu ni RAMA DEE TU!kiukweli ukiniuliza msanii bora wa r&b basi huyu jamaa anafaanya vizuri sana, Tokea wimbo wa nikikupata, maneno maneno, waubani.. kama haujapata kusikiliza wimbo wake mpya wa Unanichora basi utafute ni mkali usipime..
Rama dee ndo mkali wao
jipigie promo mkuu inasaidie sana pale unaposahaulika
kiukweli ukiniuliza msanii bora wa r&b basi huyu jamaa anafaanya vizuri sana, Tokea wimbo wa nikikupata, maneno maneno, waubani.. kama haujapata kusikiliza wimbo wake mpya wa Unanichora basi utafute ni mkali usipime..
My best Tz rn'b singer
1-Rama dee(sio waoaji,najua,sarah,mak up nk)
2-Jux (napata raha,sipati karaha,uzuri wako,nitasubiri)
3-Belle9 (sumu ya penzi,masogange,listen)
mbona unanchora ni mda tuu imetoka.. Kwa MIMI ukiniuliza msanii mkaree wa RnB jibu ni RAMA DEE TU!
umemaliza mkuu.rama dee ni noma japo team ruge wamefanikiwa kwa kiasi fulani kuzima nyota yake.ruge hatari,ukienda kinyume tu na policy yake anakupoteza kisanii.hutaki unaacha.