NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,138
kiukweli ukiniuliza msanii bora wa r&b basi huyu jamaa anafaanya vizuri sana, Tokea wimbo wa nikikupata, maneno maneno, waubani.. kama haujapata kusikiliza wimbo wake mpya wa Unanichora basi utafute ni mkali usipime..