tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,648
- 19,141
Ni marioo sugu ngoja afukuzwe
Ben pol naye ni bwege tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben pol naye ni bwege tuu
Libaya tehKama ndio huyu basi nimesitisha kutaka kumtongoza.
View attachment 1120336
View attachment 1120334
View attachment 1120335
View attachment 1120337
Teh. ..Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
Mkuu tunakupa nafasi ya kurekebisha kauli.... otherwise itakuchapa....Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
Jaguar hana pesa wewe, labda sasa hivi azipate kwenye siasa huko.We jamaa ni muongo wewe, hivi unajua East Africa ni Kenya, Uganda na Tanzania.....
Huyu mmakonde ambaye hata nyumba yake haijaisha unataka umuweke meza moja na akina Jaguar...
Alaf Harmonize naye ajiheshimu bama, hivi kwa sura ile kama andazi lililo chacha ndo anataka aingie meza moja na Ben Pol. Saiz yake ni huyohuyo Sarah wanyefanana sura
Anakula hadi demu wako kaa kizembe na awe beto sasaMkuu tunakupa nafasi ya kurekebisha kauli.... otherwise itakuchapa....
Sio kweli wapo wengi Sana hawezi kuwapataDiamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
Daaahh nilitaka kukutukana lakini nimeona nitanunua ugomvi.Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
Acha sound aisee Anerlisa anauwezo wa kumkodi Harmonize awe anamvimbia happy birthday week nzima nyumbani kwake na akamlipa vizuri.Mimi ndiye nakwambia sasa harmo ana pesa kumzidi, yani anerlisa akitaka kufanyiwa show na harmo Nairobi au popote anafirisika.
alafu bado kumbe hujajifunza hizo lugha zako za kejeli bado unazo sasa endelea tutarudi kulekule
Tatizo unakurupuka unaongea vitu kishabiki kinazi yani.Acha sound aisee Anerlisa anauwezo wa kumkodi Harmonize awe anamvimbia happy birthday week nzima nyumbani kwake na akamlipa vizuri.
Anerlisa ameingia kwenye Africa magazine Kama Moja ya young rich Africa women
Anamiliki kiwanda Cha maji amboyo ndo expensive zaidi Kenya Apo Ni tofauti na viwanga vya bia anavyomiliki mama yake.
Mdada anamiliki maeneo Manson Nairobi sehemu expensive zaidi. Unafananisha na Harmonize anaekaa Mbezi aliponga mpenzi wake Mzungu Sarah
Tukana tu hasira zako ziishe, ila kitakachoendelea utajutia siku yako kuingia humuDaaahh nilitaka kukutukana lakini nimeona nitanunua ugomvi.
Acha sound aisee Anerlisa anauwezo wa kumkodi Harmonize awe anamvimbia happy birthday week nzima nyumbani kwake na akamlipa vizuri.
Anerlisa ameingia kwenye Africa magazine Kama Moja ya young rich Africa women
Anamiliki kiwanda Cha maji amboyo ndo expensive zaidi Kenya Apo Ni tofauti na viwanga vya bia anavyomiliki mama yake.
Mdada anamiliki maeneo Manson Nairobi sehemu expensive zaidi. Unafananisha na Harmonize anaekaa Mbezi aliponga mpenzi wake Mzungu Sarah
Ukipata demu kwa kuchitchat naye, kila anayechitchat naye unajua atamla.
HahahaahWe jamaa ni muongo wewe, hivi unajua East Africa ni Kenya, Uganda na Tanzania.....
Huyu mmakonde ambaye hata nyumba yake haijaisha unataka umuweke meza moja na akina Jaguar...
Alaf Harmonize naye ajiheshimu bama, hivi kwa sura ile kama andazi lililo chacha ndo anataka aingie meza moja na Ben Pol. Saiz yake ni huyohuyo Sarah wanyefanana sura
Usimsemee huyo ana sijui nani ndugu yangu,Binadamu hasa wa kike hana dhamana.Unapodhani hao umewachambua na kuwakosoa kwa ubovu wao,mwanamke anaweza kuwapendea huo ubovu uliorodhesha hapo juu.
Mgogo kama lemutuzBen pol bana mchizi huwa amekaa kidwanzi dwanzi sana kama masanja yaan