mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Moyo Mashine’ ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imewafanya wasanii wengi akiwemo yeye kushindwa kutimiza malengo yao ndani ya mwaka huu.
“Plan zimebadilika sana mwaka huu na plan zimebadilika kwa sababu nyingi kwanza mfumo mzima wa biashara umebadilika sio kama miaka iliyopita,” alisema Ben Pol. “Yaani hiki ni kitu ambao wasanii wenzangu watakubaliana na mimi, mzunguko wa pesa na kazi umeshuka kidogo ukilinganisha na miaka mingine. Kwahiyo unaweza ukawa na matarajio yako au mipango ukashindwa kutumiza au ikawa tofauti,”
Aliongeza, “Mapromota wengi wamefilisika hasahasa wale wa mikoani, wengi hawawezi tena kuandaa show wenyewe, wakiomba sponsorship zinasuasua, yaani hela hamna, kwa hiyo wanachokifanya sasa hivi ni kuwa partners na wasanii ili kuandaa show,”
Muimbaji huyo amesitisha kuachia albamu yake mpya ambayo alitangaza kuiachia mwishoni mwa mwaka huu.
“Plan zimebadilika sana mwaka huu na plan zimebadilika kwa sababu nyingi kwanza mfumo mzima wa biashara umebadilika sio kama miaka iliyopita,” alisema Ben Pol. “Yaani hiki ni kitu ambao wasanii wenzangu watakubaliana na mimi, mzunguko wa pesa na kazi umeshuka kidogo ukilinganisha na miaka mingine. Kwahiyo unaweza ukawa na matarajio yako au mipango ukashindwa kutumiza au ikawa tofauti,”
Aliongeza, “Mapromota wengi wamefilisika hasahasa wale wa mikoani, wengi hawawezi tena kuandaa show wenyewe, wakiomba sponsorship zinasuasua, yaani hela hamna, kwa hiyo wanachokifanya sasa hivi ni kuwa partners na wasanii ili kuandaa show,”
Muimbaji huyo amesitisha kuachia albamu yake mpya ambayo alitangaza kuiachia mwishoni mwa mwaka huu.