Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Wasnii nao wameanza kuonja joto la kinachoitwa 'kubana wapiga dili' na sasa wamezungumza
Msanii Ben Pol amedai kwa sasa wasanii wengi mambo yamewabaidilikia na show walizokuwa wakitegemea watapata kama walivyokuwa wanapata miaka ya Kikwete sasa hakuna
Amesema mapromota zaidi ya nusu kwa sasa wamepungua kwa sababu hawawezi kuwalipa tena wasanii kama walivyokuwa wanafanya mwaka jana
Ben Paul alikuwa atoe albam lakini ameifuta na tour ya wimbo wa moyo mashine ameifuta kwa maeneo mengi sababu fedha hakuna
Msanii Ben Pol amedai kwa sasa wasanii wengi mambo yamewabaidilikia na show walizokuwa wakitegemea watapata kama walivyokuwa wanapata miaka ya Kikwete sasa hakuna
Amesema mapromota zaidi ya nusu kwa sasa wamepungua kwa sababu hawawezi kuwalipa tena wasanii kama walivyokuwa wanafanya mwaka jana
Ben Paul alikuwa atoe albam lakini ameifuta na tour ya wimbo wa moyo mashine ameifuta kwa maeneo mengi sababu fedha hakuna